Kwanini Tusiandike barua ya wazi kwa Raisi.
Mvumilivu...hatimaye.... Hongera sana...MUNGU NI MWEMA NIMELAMBA ASALI...
Mkuu ni za ndani hizoo?Changamoto ni moja PSPR washatoa bonge la sheet linalosema mifumo na uwakibikaji wao sema ni vile hatupendagi kusoma ila kila kitu kiko available kwenye mitandao Yao sasa basi.... PSPR awawezi kupeleka mtu placement bila ya taasisi husika kumuhitaji mtu uyo kwa sasa ila inshort mchakato wa usaili hauna muda maalumu its depending na wahusika katika taasisi wanamuhitaji mwajiliwa immediately au 5month leter after kutoa kibali..[emoji1488][emoji599]akhsanteni....ila kuanzia juma4 wale tunaosubiria saili na placement zinaanza kumiminika lengo ni January watu wawe wanaramba asali
Inaonekana hawa PSRS wanafanyiwa figisu figisu nyingi Sana na baadhi ya taasisi, wao washaliona Ilo sasa wanakwama wapi kulishughulikia ikiwa wapo kisheria?Changamoto ni moja PSPR washatoa bonge la sheet linalosema mifumo na uwakibikaji wao sema ni vile hatupendagi kusoma ila kila kitu kiko available kwenye mitandao Yao sasa basi.... PSPR awawezi kupeleka mtu placement bila ya taasisi husika kumuhitaji mtu uyo kwa sasa ila inshort mchakato wa usaili hauna muda maalumu its depending na wahusika katika taasisi wanamuhitaji mwajiliwa immediately au 5month leter after kutoa kibali..[emoji1488][emoji599]akhsanteni....ila kuanzia juma4 wale tunaosubiria saili na placement zinaanza kumiminika lengo ni January watu wawe wanaramba asali
Si ndio hapo ,? ,Mi nashangaa ni chombo gani hiki kisicho na meno ya kuwawajibisha waajiri wazembeInaonekana hawa PSRS wanafanyiwa figisu figisu nyingi Sana na baadhi ya taasisi, wao washaliona Ilo sasa wanakwama wapi kulishughulikia ikiwa wapo kisheria?
Haimake sense eti psrs ni chombo kilichoundwa kisheria na wako chini ya ofisi ya rais ila hawana power wala uwezo wa kudeal na tatizo la ucheleweshwaji wa PlacementInaonekana hawa PSRS wanafanyiwa figisu figisu nyingi Sana na baadhi ya taasisi, wao washaliona Ilo sasa wanakwama wapi kulishughulikia ikiwa wapo kisheria?
Thanks coachMvumilivu...hatimaye.... Hongera sana...
Inaonekana hawa PSRS wanafanyiwa figisu figisu nyingi Sana na baadhi ya taasisi, wao washaliona Ilo sasa wanakwama wapi kulishughulikia ikiwa wapo kisheria?
Changamoto ni moja PSPR washatoa bonge la sheet linalosema mifumo na uwakibikaji wao sema ni vile hatupendagi kusoma ila kila kitu kiko available kwenye mitandao Yao sasa basi.... PSPR awawezi kupeleka mtu placement bila ya taasisi husika kumuhitaji mtu uyo kwa sasa ila inshort mchakato wa usaili hauna muda maalumu its depending na wahusika katika taasisi wanamuhitaji mwajiliwa immediately au 5month leter after kutoa kibali..[emoji1488][emoji599]akhsanteni....ila kuanzia juma4 wale tunaosubiria saili na placement zinaanza kumiminika lengo ni January watu wawe wanaramba asali
Unaongea kama nani?Changamoto ni moja PSPR washatoa bonge la sheet linalosema mifumo na uwakibikaji wao sema ni vile hatupendagi kusoma ila kila kitu kiko available kwenye mitandao Yao sasa basi.... PSPR awawezi kupeleka mtu placement bila ya taasisi husika kumuhitaji mtu uyo kwa sasa ila inshort mchakato wa usaili hauna muda maalumu its depending na wahusika katika taasisi wanamuhitaji mwajiliwa immediately au 5month leter after kutoa kibali..[emoji1488][emoji599]akhsanteni....ila kuanzia juma4 wale tunaosubiria saili na placement zinaanza kumiminika lengo ni January watu wawe wanaramba asali
Kama wanaona changamoto hizo Lengo la kuweka database mwaka mmoja linamaana gan kama sio Usanii nn waache kucheza na akiri za wasaka ajira ...Changamoto ni moja PSPR washatoa bonge la sheet linalosema mifumo na uwakibikaji wao sema ni vile hatupendagi kusoma ila kila kitu kiko available kwenye mitandao Yao sasa basi.... PSPR awawezi kupeleka mtu placement bila ya taasisi husika kumuhitaji mtu uyo kwa sasa ila inshort mchakato wa usaili hauna muda maalumu its depending na wahusika katika taasisi wanamuhitaji mwajiliwa immediately au 5month leter after kutoa kibali..[emoji1488][emoji599]akhsanteni....ila kuanzia juma4 wale tunaosubiria saili na placement zinaanza kumiminika lengo ni January watu wawe wanaramba asali
kwakweli sisi tuliofanya oral juzi hapa naona tuanze kudai placement mwakani mwez wa 3Kama wanaona changamoto hizo Lengo la kuweka database mwaka mmoja linamaana gan kama sio Usanii nn waache kucheza na akiri za wasaka ajira ...
Wajitafakari "PSRS ndo roho za wasaka ajira....
Wanapojitetea mitandao/vyombo vya Habari wawe wanaonyesha uwajibikaji sasa hivi tumerudi kulekule tulipotoka alafu wanachezea kodi zetu kwenye matangazo yao kwenye vyombo vya Habari ukija kwenye Utendaji ni mwendo wa kinyonga...
Waachie PDF nzito la Database tupunguze stress za Maisha
Kwanini Tusiandike barua ya wazi kwa Raisi.
wa 3 mapema ivokwakweli sisi tuliofanya oral juzi hapa naona tuanze kudai placement mwakani mwez wa 3
inategemea mkuu kuna watu hata miezi miwili hawamalizi wanapata placementwa 3 mapema ivo
Hahaaa ,hawajui kuna watu tunaenda miezi sita sasa hivi bila bila [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]wa 3 mapema ivo
Baadhi kama wale wa community developmentinategemea mkuu kuna watu hata miezi miwili hawamalizi wanapata placement
Baadhi kama wale wa community developmentinategemea mkuu kuna watu hata miezi miwili hawamalizi wanapata placement
Aisee kusubiri placement ni ngumu kuliko kusubiri vingine vyote vya awaliBaadhi kama wale wa community development
Sijui kwa nini inakuwa ngumu kufanya hivyo hivyo kwa wengine