Congressman
JF-Expert Member
- Jun 2, 2020
- 781
- 2,305
Sekretarieti ya Ajira wanangu nyie ni jipu sana, mnafanya kazi kimazoea kwa hali hii acha taasisi zinazojitambua kama TRA, NSSF wajitoe waanze kuajiri wenyewe.
Like seriously, hii kazi imewashinda serikali ni
Kubwa sana, kubalini tu hii kazi ipo nje ya uwezo wenu.
Like seriously, hii kazi imewashinda serikali ni
Kubwa sana, kubalini tu hii kazi ipo nje ya uwezo wenu.