Wakuu mbona Mnanipita Tuuu, ina maana hauna Laptop au desktop Mbovu, ambayo unahitaji ipone..??
Okay sawa tuseme huna, Ofisini kwenu hakuna Desktop mbovu? Hakuna laptop ni nzito mpka mnaikimbia?? Okay Networking basi Mnapata ?? Cable hazisumbuiii??? Okay basi sawa kila kitu kipo sawa...
Hauna hata stationery unataka kuweka network? Yani mteja akikaa kwenye PC yoyote aweze Ku print?? Okay hutaki kubadirisha Windows??
Basi sawa, Mfano tuseme labda una shule una mwalimu wa computer??
Mbona hivyo wakuu mnataka nilale njaa .... Wewe nipe kazi yoyote ya computer nakuja kufanya ulipo na malipo ni baada ya kazi.