Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Ungekuwepo Dom ningekupa kazi ya kutibu Laptop. Nina laptop hapa naona ikiingia gereji lazima itoke na kitu
 
Hivi inakuwaje mfano mnafanya oral Leo labda ya ICT officer Tanroad, nafasi 10. Halafu baada ya siku 3 watu 10 wanaitwa kazini Kwa nafasi hiyo hiyo na Tangazo linaonyesha labda walioitwa ni waliofanya usaili kati ya january- march 2023.

Je ni kwamba hizo nafasi mlizofanyia saili tayari Kuna watu labda walikuwa data base?
Kama jibu ni ndiyo kulikuwa na haja Gani Tena ya kuita watu kufanyia usaili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…