Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hahaaaaa[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] , pole mkuu
Nchi na jamii ya Kitanzania haina huruma na jobless hata kidogo
Haifeel maumivu na msoto wa kitaa jobless anaopitia
 
ba
hongera sana ukawe mtumishi mwema aisee.
 
Hongera sana
 
safi sana hongera sana ukawe mtumishi mwema
 
HONGERA SANA SANA .
 
Hongera sana
 
Hongera sana Grecencia, ukawe mtumishi mwema!
 
Congratulations!
Usahili umefanya lini ?
 
Hii Sijui fresh from School haikuwa na haja ya kuiandika, Unatuchoma sisi ambao tuna 5+ years since we graduated
 
Hongera sana mkuu kila la kheri kwenye majukumu yako mapya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…