Hahaaaaa[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] , pole mkuuIkifika December 1 hakuna news naacha kuweka MB labda waje wanipigie simu wenyewe kuniita kwenye interview [emoji28] aiwezekani miezi 6 yote Niko online kwa bajet kaliii sana ya MBs Yaani mimi ni wakuishi na Mb 200 siku 3 ili kusubria “call for interview “[emoji23] aseeee nimechokaaaa bora hata mnaosubiri placement dadeq
Nchi na jamii ya Kitanzania haina huruma na jobless hata kidogo
Haifeel maumivu na msoto wa kitaa jobless anaopitia