Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Nukuu, "'Tumeyarudisha mashirika uhuru wa kujiendesha. Hapa katikati sheria zilibadilika hata ukitaka kufanya promotion lazima uombe kibali utumishi, UKITAKA KUAJIRI lazima uombe kibali. Lakini tukasema kwa utaratibu huo haya mashirika yetu hayawezi kwenda popote yatakufa tu" - Nehemiah Mchechu, Msajili wa Hazina!!
 
Dah !
 
Samahani wakuu nimemaliza diploma ya biomedical engineering hapo must na GPA yangu 3.4 haiwezi kuleta utata kweli kuwa short listed
 
Habari za mchana waungwana, kuna mtu aliomba nafasi ya Youth Development Officer humu? Kama yupo tupeane abc.
 
Acha tuonje na ladha nyingine psrs nao wana mapungufu
 
kweli kabisa
Kwahiyo zile Placement ambazo hazijatoka ndio bye bye au sio ?
Oya ,tushaliwa mzee .
Kwa kauli hizi ,duh !
Hawa mi nadhani walishaamua tu kutumia taasisi binafsi kufanya mambo yao ,ila kutakuwa na maumivu bila shaka ,maana Madudu ya taasisi nayo yanajulikana aisee
 
Naomba kama. Kuna mtu ana group la Utumishi aniunge mnyonge mwenzenu naona nimeitwa Huko Kwenda mtihan wa Mchujo
 
Oya wanajamii wezangu , ety leo sijawa shortlist na utumishi kisa sija akiki cheti cha kuzaliwa kwa mwanasheria , lkn cheti changu nili akiki na Rita , sasa naanza kuona dhuluma ya utumishi.
Nmefanya saili 2 hadi leo ndio utumishi wakatae kuni shortlist kisa sija akiki chet kwa wakili akika hii ni dhuluma ya wazi kabisa.
Kama ndio njia waliotumia kupunguza watu sio sawa kabisa.
Dhuluma zimeanza mapemaa
 
yaani hata hayaeleweki waongee moja watu tujue kama tuapply utumishi au private sector.na ajira zitangazwe wazi
 
hapo kosa ni la kwako wala usiwalaumu utumishi walishatoa masharti yao vyeti lazima vika hakikiwe na mwanasheria. hata sisi wengine kuna kipindi hatuwa shortlist kwa sababu kama hiyo.
 
Samahani wakuu nimemaliza diploma ya biomedical engineering hapo must na GPA yangu 3.4 haiwezi kuleta utata kweli kuwa short listed
Kwan tangazo linasemaje? Kama wamespecify GPA wanayoihitaji na wewe huna hyo GPA hutakuwa shortlisted, Ila Kama hawajaspecify GPA wanayoihitaji utakuwa shortlisted labda Kama vigezo vingine hujatimiza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…