ANoblePerson
JF-Expert Member
- Sep 30, 2023
- 466
- 701
Shida Iko kwako Mkuu Kwan vigezo vyao vinasemaje? Usiwalaumu Utumishi kwa kutokuzingatia kwako vigezo orodheshwa.Oya wanajamii wezangu , ety leo sijawa shortlist na utumishi kisa sija akiki cheti cha kuzaliwa kwa mwanasheria , lkn cheti changu nili akiki na Rita , sasa naanza kuona dhuluma ya utumishi.
Nmefanya saili 2 hadi leo ndio utumishi wakatae kuni shortlist kisa sija akiki chet kwa wakili akika hii ni dhuluma ya wazi kabisa.
Kama ndio njia waliotumia kupunguza watu sio sawa kabisa.
Dhuluma zimeanza mapemaa
Sidhan kwenye vigezo wamesema ni academic certificates ndio vinahitaji kuakikiwa kama sijakosea kwenye tangazo la kazi. Na sio cheti za kuzaliwa akikutajwa .Shida Iko kwako Mkuu Kwan vigezo vyao vinasemaje? Usiwalaumu Utumishi kwa kutokuzingatia kwako vigezo orodheshwa.
Basi kwa faida ya siku nyingine ni vyeti vyote yaani academics, birth, ectSidhan kwenye vigezo wamesema ni academic certificates ndio vinahitaji kuakikiwa kama sijakosea kwenye tangazo la kazi. Na sio cheti za kuzaliwa akikutajwa .
Gharama sijui sijawahi kuwa na hii changamoto ila nishashuhudia raia wakizuiwa kuingia kwenye usaili kwa inshu kama hii yako na wengine walikuwa hawana vitambulisho, hakikisha pia unapata barua ya utambulisho kutoka serikali ya mtaa kama huna moja ya ID wanayotaka.
Jamaa hawana huruma hawajali umetumia gharama kiasi gani kutoka kwenu hadi hapo, watu huwa wanalia.
mbon hatari hiiKazi ishaisha. PSRS wakae pembeni sasa.
Vijana kuna applications kwenye simu mnapaswa kuwa nazo zina majibu ya mambo yote.Habari,naomba kama kuna mtu ana notes za Committee Clerk II anitumie au nielekezwe wapi naweza kuzipata mtandaoni.
Noma mzeeyaani hata hayaeleweki waongee moja watu tujue kama tuapply utumishi au private sector.na ajira zitangazwe wazi
Hyo n kawaida kila tangazo wameandika kuwa Kila cheti chako kigongwe mhuri na WakiliOya wanajamii wezangu , ety leo sijawa shortlist na utumishi kisa sija akiki cheti cha kuzaliwa kwa mwanasheria , lkn cheti changu nili akiki na Rita , sasa naanza kuona dhuluma ya utumishi.
Nmefanya saili 2 hadi leo ndio utumishi wakatae kuni shortlist kisa sija akiki chet kwa wakili akika hii ni dhuluma ya wazi kabisa.
Kama ndio njia waliotumia kupunguza watu sio sawa kabisa.
Dhuluma zimeanza mapemaa
Hapa ndio gap la mishahara kati ya taasisi na wizara/ halmashauri huanzia. Taasisi zikiwa na mamlaka kamili zinaweza kuamua tu kujiongezea mishahara na bodi ikipitisha basi kazi imeisha. Halmashauri hadi bunge lipitishe sio leo.Habari inasema, Hazina wataruhusu mashirika kuajiri bila kuomba kibali UTUMISHI. Inahusianaje na PSRS kukaa pembeni? Mnataka muanze kupitishana watoto wa mjomba 😀
Sina leseni wala kitambulisho chochote tofauti na vya academic
JKT tulikuwa tunaita mapuuza. Mkuu una mapuuza sana. Naomba radhi kama nitakukosea ila ni aibu msomi kukubali kukosa utambulisho wa aina yoyote ambao ni rasmi.
Vyeti vya uraia serikali mpka leo haizarishi hardcopy, leseni ya driving so muhimu kwa kila mtanzania ni optional, passport sijafanikisha kwa maana ya mazingira niliyopo yalikua ayaniruhusu kuwa na passport hyo kwa uharaka...so as whatever you can say I’m doing MAPUUZA as you say. Because what I’m passing through it’s only my GOD and my family know but if you will help me in any situation to get one among of the certificate that I haven’t....I’ll say thank ever [emoji1488][emoji3590]
Vyeti vya uraia serikali mpka leo haizarishi hardcopy, leseni ya driving so muhimu kwa kila mtanzania ni optional, passport sijafanikisha kwa maana ya mazingira niliyopo yalikua ayaniruhusu kuwa na passport hyo kwa uharaka...so as whatever you can say I’m doing MAPUUZA as you say. Because what I’m passing through it’s only my GOD and my family know but if you will help me in any situation to get one among of the certificate that I haven’t....I’ll say thank ever [emoji1488][emoji3590]
Mbali na yote hayo una hulka ya kujieleza eleza sana lakini pia umekosa utulivu hata kwa deatails chache unazopewa, hebu jikusanye na uweke u serious kidogo kama una usela mwingi tafuta balance.
Sioni kama ni dhuluma ni utaratibu wa kawaida tu. Hapo nipo na UtumishiOya wanajamii wezangu , ety leo sijawa shortlist na utumishi kisa sija akiki cheti cha kuzaliwa kwa mwanasheria , lkn cheti changu nili akiki na Rita , sasa naanza kuona dhuluma ya utumishi.
Nmefanya saili 2 hadi leo ndio utumishi wakatae kuni shortlist kisa sija akiki chet kwa wakili akika hii ni dhuluma ya wazi kabisa.
Kama ndio njia waliotumia kupunguza watu sio sawa kabisa.
Dhuluma zimeanza mapemaa