Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
Mwanasheria pekee yake au hata mahakama?hapo kosa ni la kwako wala usiwalaumu utumishi walishatoa masharti yao vyeti lazima vika hakikiwe na mwanasheria. hata sisi wengine kuna kipindi hatuwa shortlist kwa sababu kama hiyo.
Ni either wakili au hakimuMwanasheria pekee yake au hata mahakama?
#YNWA
Be advisable Mkuu.Sawa life coach
Hapa ndio gap la mishahara kati ya taasisi na wizara/ halmashauri huanzia. Taasisi zikiwa na mamlaka kamili zinaweza kuamua tu kujiongezea mishahara na bodi ikipitisha basi kazi imeisha. Halmashauri hadi bunge lipitishe sio leo.
Jamaa kapotea asee kashajipata
Kwann mkuu?wahandisi tumeikosea nini serikali.. 🤣 🤣
Nilimuambia Mimi ,hiyo Interview Anayoenda Hatoboi Atakuja Kusema hapa watu wanapendelewa ...Sio Muelewa kabisa ,alafu yupo kama maharage yani anarukaruka muda woteMbali na yote hayo una hulka ya kujieleza eleza sana lakini pia umekosa utulivu hata kwa deatails chache unazopewa, hebu jikusanye na uweke u serious kidogo kama una usela mwingi tafuta balance.
Binafsi namuombea afanikiwe ila awe na utulivu hususani anapokuwa ameelekezwa maana furaha ya call for interview anatakiwa asipoteze ni kaumakini tuu kadogo atafanikiwa ndugu yetu.Nilimuambia Mimi ,hiyo Interview Anayoenda Hatoboi Atakuja Kusema hapa watu wanapendelewa ...Sio Muelewa kabisa ,alafu yupo kama maharage yani anarukaruka muda wote
Nilimuambia Mimi ,hiyo Interview Anayoenda Hatoboi Atakuja Kusema hapa watu wanapendelewa ...Sio Muelewa kabisa ,alafu yupo kama maharage yani anarukaruka muda wote
Binafsi namuombea afanikiwe ila awe na utulivu hususani anapokuwa ameelekezwa maana furaha ya call for interview anatakiwa asipoteze ni kaumakini tuu kadogo atafanikiwa ndugu yetu.
kila pdf hola..Kwann mkuu?
kila pdf hola..
mbona yeye halimi.Waziri alisema vijana muache KUBET mkalime[emoji23]sasa sijui na utumishi wanasemaje
warudishe wasirudishe poa tu.na hiyo portal si wafunge tu mbona wanatuconfuse..
Mmmmh sjui itakuaje,ss walala hoi
Na ukikosa kazi je?hiyo hata ukiajiliwa inabaki hivyo