Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

ndo ivo mie nilivoona iyo status inabadilikabadilika nikawapigia simu nilivyowaeleza wakaanza kunicheka wakanambia nijitahidi interview ijayo..

ndo ivo mie nilivoona iyo status inabadilikabadilika nikawapigia simu nilivyowaeleza wakaanza kunicheka wakanambia nijitahidi interview ijayo.. 🤣 🤣
😂😂😂Aisee jamaa huwa yanaanza kutokea baada ya muda gani?
 
MIMI NINA USHAHIDI UKIONA HATA SIKU MOJA KWENYE WEB AU APP UKI REFRESH MARA INAONEKANA NOT SELECTED FOR ORAL BASI UJUE HIYO SIO ISHARA NZURI...

Kwann??? Kwa sababu... Sisi tuliosoma Tehama tunajua mtu akiwa anafanya modification kwenye database basi kuna signal flani lazima zitokee kwa mtumiaji..... So akisema Not selected for oral inamaana Either hujafikisha Pass mark/ kwenye ile List ya kutoka recently ww haupo...nasema hivyo kwa experience kabisa....

Muulize yoyote aliyeona hilo badiriko la Not selected , Either mpka leo hajapata kazi Au alipata baadae sanaaaa yani alishakata tamaaa ...Kuna zile nafasi za halmashauri ya Waging'ombe labda wametaka watu ile usiku usiku....ndio wanaenda kuangalia masalia msobe msobe unajikuta umo....NB: NOT SELECTED FOR ORAL ...hata jina tu linajieleza yani kuwa sio kitu kizuri ,ukiachana na definition zetu 🤣🤣
 
ukiona status inachange tu ujue hata database haupo. 🤣 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…