Mi ninachosema ni hayo mambo ya kupeleka maombi manually ni ya kizamani...Mbona unakuwa kama mtoto mzee.
Fuatilia ajira zote za mkataba utumishi hawazifuatilii wao.
Wao wanakuwa kwenye usaili tu.
Hauoni CBE nao unapeleka maombi chuoni.
Sio kwamba wamewapa mamlaka ajira ni ya mkataba hawasimami full
🤣🤣🤣🤣Daaah!!! Braza kwanini iwe Wanging'ombe lakini.........si ungetolea mfano hata Buhigwe huko.MIMI NINA USHAHIDI UKIONA HATA SIKU MOJA KWENYE WEB AU APP UKI REFRESH MARA INAONEKANA NOT SELECTED FOR ORAL BASI UJUE HIYO SIO ISHARA NZURI...
Kwann??? Kwa sababu... Sisi tuliosoma Tehama tunajua mtu akiwa anafanya modification kwenye database basi kuna signal flani lazima zitokee kwa mtumiaji..... So akisema Not selected for oral inamaana Either hujafikisha Pass mark/ kwenye ile List ya kutoka recently ww haupo...nasema hivyo kwa experience kabisa....
Muulize yoyote aliyeona hilo badiriko la Not selected , Either mpka leo hajapata kazi Au alipata baadae sanaaaa yani alishakata tamaaa ...Kuna zile nafasi za halmashauri ya Waging'ombe labda wametaka watu ile usiku usiku....ndio wanaenda kuangalia masalia msobe msobe unajikuta umo....NB: NOT SELECTED FOR ORAL ...hata jina tu linajieleza yani kuwa sio kitu kizuri ,ukiachana na definition zetu 🤣🤣
NDugu ITpersonel tupe za ndani kaka,Jana na leo umekuwa kimya ghafla...vp pdf zinatoka lin tujiandae kakaMIMI NINA USHAHIDI UKIONA HATA SIKU MOJA KWENYE WEB AU APP UKI REFRESH MARA INAONEKANA NOT SELECTED FOR ORAL BASI UJUE HIYO SIO ISHARA NZURI...
Kwann??? Kwa sababu... Sisi tuliosoma Tehama tunajua mtu akiwa anafanya modification kwenye database basi kuna signal flani lazima zitokee kwa mtumiaji..... So akisema Not selected for oral inamaana Either hujafikisha Pass mark/ kwenye ile List ya kutoka recently ww haupo...nasema hivyo kwa experience kabisa....
Muulize yoyote aliyeona hilo badiriko la Not selected , Either mpka leo hajapata kazi Au alipata baadae sanaaaa yani alishakata tamaaa ...Kuna zile nafasi za halmashauri ya Waging'ombe labda wametaka watu ile usiku usiku....ndio wanaenda kuangalia masalia msobe msobe unajikuta umo....NB: NOT SELECTED FOR ORAL ...hata jina tu linajieleza yani kuwa sio kitu kizuri ,ukiachana na definition zetu 🤣🤣
NDugu ITpersonel tupe za ndani kaka,Jana na leo umekuwa kimya ghafla...vp pdf zinatoka lin tujiandae kaka
Wewe jamaa kichwa chako kibovu hata sikuamini.PDF ijayo inatoka jumatatu tarehe 3 au jumanne tarehe 4 baada ya hapo tule skukuu kwanza
Wewe jamaa kichwa chako kibovu hata sikuamini.
sio kweli, nilishapitia null to oral na bado nikalamba asaliYani status yako kwa App inatakiwa ibaki select for oral, ikichange mara kuandika selected for null...mara inarudi selected for oral hapo ni kipengele kupata placement.
yaah utumishi wako ofisi ya rais, kwan tamisemi wao wako ofisi gani mzee?Ndoto za abunwasi[emoji39] utumishi iko chini ya ofisi ya rais kwahyo kuna mambo ayakamilishwi ngazi ya juu that’s why mnaona tunacheleweshwa. Na hii sio kwetu tu ni mifumo yote ya serikali inaenda ivi mfano, unaweza kukuta kijishimo kidgo tu barabaran (barabara ya rami) kikakaa kwa muda wa mwaka mzima barabaran kila kukicha kinaongezeka sio kwamba serikali hawana taarifa nacho! Bali kiko kwenye process ya kufanyiwa physibility study na kukitengea fungu la ukarabati..... all in All mifumo ya serikali ili sisi jobless tuifaidi may be tuwe wakishua tunaoishi bila pressure ya ajira na tuwe walau na uwakika wa kuingiza walau 20k per day[emoji1488][emoji38]
Nawasilisha[emoji2217]
Wewe jamaa kichwa chako kibovu hata sikuamini.
Na Mwamba Ndio Kwanza kaitwa Interview ila Ukoo Mzima Washapata Habari.... Kuwa kaitwa Kwa ajiri ya kupata kazi serikalini....[emoji1787][emoji1787]
Boss huyu jamaa ,Akipita Written Mimi na left Jamii Forum bcz Haya mawenge Hichi kichwa sio... [emoji1787]Hao ndio wanalalamikaga Watu wanapendelewa ....Anaambiwa Cirlce yeye anaandika Alphabet
Ni mwendo wa madereva na wauguzi + record managementMshika Flash Loading placement [emoji368]........Ole wako utuletee za Madereva Tunakukataaaa leo
Acheni ufala kwani hizo kada hazistahili kupata kazi .Ni mwendo wa madereva na wauguzi + record management
Wanakera kichizi
Babu wamezidiiii Yani kila ukifungua Madereva na Manurse kwani Kada nyengine sio watu??? Ushawahi ona Mkeka wa Kada ya IT wapo Hata 7 kwenye Mkeka Mmoja??Acheni ufala kwani hizo kada hazistahili kupata kazi .
Yah ! Ni kweli mkuu , unajua hai make sense kabisa hii kitu mzeeIla kama taasisi moja moja kama TRA nao placement wanachelesha kiasi hiki kwa mliofanya, naanza kuwa na wasiwasi ni either kinachosababisha kuchelewa kwa placement kiko nje ya mamlaka ya utumishi au ni labda huu ucheleweshaji ni wa makusudi kuna watu wanafaidika nao.
wametangaza kazi mwezi wa 5 mpaka leo hawajatoa placement sasa walikuwa wanalalamika nini utumishi walivyochelewa kipindi kileIla kama taasisi moja moja kama TRA nao placement wanachelesha kiasi hiki kwa mliofanya, naanza kuwa na wasiwasi ni either kinachosababisha kuchelewa kwa placement kiko nje ya mamlaka ya utumishi au ni labda huu ucheleweshaji ni wa makusudi kuna watu wanafaidika nao.
Yah ! Ni kweli mkuu , unajua hai make sense kabisa hii kitu mzee
Yaani kwa kweli imekuwa mwiba hasa kwa watafuta ajira kupitia mfumo wa PSRS