Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Mbona unakuwa kama mtoto mzee.

Fuatilia ajira zote za mkataba utumishi hawazifuatilii wao.

Wao wanakuwa kwenye usaili tu.

Hauoni CBE nao unapeleka maombi chuoni.

Sio kwamba wamewapa mamlaka ajira ni ya mkataba hawasimami full
Mi ninachosema ni hayo mambo ya kupeleka maombi manually ni ya kizamani...
Wapewe mfumo wautumie kuajiri
 
MIMI NINA USHAHIDI UKIONA HATA SIKU MOJA KWENYE WEB AU APP UKI REFRESH MARA INAONEKANA NOT SELECTED FOR ORAL BASI UJUE HIYO SIO ISHARA NZURI...

Kwann??? Kwa sababu... Sisi tuliosoma Tehama tunajua mtu akiwa anafanya modification kwenye database basi kuna signal flani lazima zitokee kwa mtumiaji..... So akisema Not selected for oral inamaana Either hujafikisha Pass mark/ kwenye ile List ya kutoka recently ww haupo...nasema hivyo kwa experience kabisa....

Muulize yoyote aliyeona hilo badiriko la Not selected , Either mpka leo hajapata kazi Au alipata baadae sanaaaa yani alishakata tamaaa ...Kuna zile nafasi za halmashauri ya Waging'ombe labda wametaka watu ile usiku usiku....ndio wanaenda kuangalia masalia msobe msobe unajikuta umo....NB: NOT SELECTED FOR ORAL ...hata jina tu linajieleza yani kuwa sio kitu kizuri ,ukiachana na definition zetu 🤣🤣
🤣🤣🤣🤣Daaah!!! Braza kwanini iwe Wanging'ombe lakini.........si ungetolea mfano hata Buhigwe huko.

Huzuni sana.
 
MIMI NINA USHAHIDI UKIONA HATA SIKU MOJA KWENYE WEB AU APP UKI REFRESH MARA INAONEKANA NOT SELECTED FOR ORAL BASI UJUE HIYO SIO ISHARA NZURI...

Kwann??? Kwa sababu... Sisi tuliosoma Tehama tunajua mtu akiwa anafanya modification kwenye database basi kuna signal flani lazima zitokee kwa mtumiaji..... So akisema Not selected for oral inamaana Either hujafikisha Pass mark/ kwenye ile List ya kutoka recently ww haupo...nasema hivyo kwa experience kabisa....

Muulize yoyote aliyeona hilo badiriko la Not selected , Either mpka leo hajapata kazi Au alipata baadae sanaaaa yani alishakata tamaaa ...Kuna zile nafasi za halmashauri ya Waging'ombe labda wametaka watu ile usiku usiku....ndio wanaenda kuangalia masalia msobe msobe unajikuta umo....NB: NOT SELECTED FOR ORAL ...hata jina tu linajieleza yani kuwa sio kitu kizuri ,ukiachana na definition zetu 🤣🤣
NDugu ITpersonel tupe za ndani kaka,Jana na leo umekuwa kimya ghafla...vp pdf zinatoka lin tujiandae kaka
 
Ndoto za abunwasi[emoji39] utumishi iko chini ya ofisi ya rais kwahyo kuna mambo ayakamilishwi ngazi ya juu that’s why mnaona tunacheleweshwa. Na hii sio kwetu tu ni mifumo yote ya serikali inaenda ivi mfano, unaweza kukuta kijishimo kidgo tu barabaran (barabara ya rami) kikakaa kwa muda wa mwaka mzima barabaran kila kukicha kinaongezeka sio kwamba serikali hawana taarifa nacho! Bali kiko kwenye process ya kufanyiwa physibility study na kukitengea fungu la ukarabati..... all in All mifumo ya serikali ili sisi jobless tuifaidi may be tuwe wakishua tunaoishi bila pressure ya ajira na tuwe walau na uwakika wa kuingiza walau 20k per day[emoji1488][emoji38]

Nawasilisha[emoji2217]
yaah utumishi wako ofisi ya rais, kwan tamisemi wao wako ofisi gani mzee?

wote hao ni ofisi moja. so suala la kuajiri bila usahili kama wafanyavyo tamisemi inawezekana
 
Na Mwamba Ndio Kwanza kaitwa Interview ila Ukoo Mzima Washapata Habari.... Kuwa kaitwa Kwa ajiri ya kupata kazi serikalini....🤣🤣

Boss huyu jamaa ,Akipita Written Mimi na left Jamii Forum bcz Haya mawenge Hichi kichwa sio... 🤣Hao ndio wanalalamikaga Watu wanapendelewa ....Anaambiwa Cirlce yeye anaandika Alphabet
Wewe jamaa kichwa chako kibovu hata sikuamini.
 
IT KASHIKIRIA PDF KAMA 4 MKONONI NA HATAKI KUPOST SIJUI ANA SHIDA GANI,

YANI IPO HIVI UNAJIKUTA UNALALAMIKA PLACEMENT HAZITOKI SIKU IKITOKA NA JINA LAKO UKIENDA UNAKUTA BARUA YAKO YA KAZI ILISHA SIGNIWA NA KATIBU TANGIA MWEZI WA TISA.(9) ILA PLACEMENT WAMEWEKA MWEZI WA 11..

KUNA SIKU ZILE ZA TRA MAMA AKASEMA NYIE VIPI MNASHIDA GANI MBONA TRA WANALALAMIKA HAMUWAPI WATU WAO... ILIKIWA SAA SABA HIVI MCHANA BASI MPKA SAA SABA NA NUSU ETI TAYARI YAMETOKA ....YANI MAJINA YAPO, NA WANAJUA UNAENDA TAASISI GANI...
ILA IT NDIO HIVYO ANA PDF MKONONI... ILA J.3 HAIFIKI MAKE SURE UNA BUNDLE LEO ,KESHO ...J.MOSI NA J.PILI KUNA MZIGO UTAACHIWA
 
Na Mwamba Ndio Kwanza kaitwa Interview ila Ukoo Mzima Washapata Habari.... Kuwa kaitwa Kwa ajiri ya kupata kazi serikalini....[emoji1787][emoji1787]

Boss huyu jamaa ,Akipita Written Mimi na left Jamii Forum bcz Haya mawenge Hichi kichwa sio... [emoji1787]Hao ndio wanalalamikaga Watu wanapendelewa ....Anaambiwa Cirlce yeye anaandika Alphabet

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamaa bange sana uyu....-acha kumuombea mwenzio hvo bhanaaa
 
Ila kama taasisi moja moja kama TRA nao placement wanachelesha kiasi hiki kwa mliofanya, naanza kuwa na wasiwasi ni either kinachosababisha kuchelewa kwa placement kiko nje ya mamlaka ya utumishi au ni labda huu ucheleweshaji ni wa makusudi kuna watu wanafaidika nao.
Yah ! Ni kweli mkuu , unajua hai make sense kabisa hii kitu mzee
Yaani kwa kweli imekuwa mwiba hasa kwa watafuta ajira kupitia mfumo wa PSRS
 
Ila kama taasisi moja moja kama TRA nao placement wanachelesha kiasi hiki kwa mliofanya, naanza kuwa na wasiwasi ni either kinachosababisha kuchelewa kwa placement kiko nje ya mamlaka ya utumishi au ni labda huu ucheleweshaji ni wa makusudi kuna watu wanafaidika nao.
wametangaza kazi mwezi wa 5 mpaka leo hawajatoa placement sasa walikuwa wanalalamika nini utumishi walivyochelewa kipindi kile
 
Back
Top Bottom