Amina mtaalamKabla mwaka kuisha nahakika Mwenyezi Mungu atatenda miujiza, wengi naamini mwaka ujao tutakuwa watumishi, yote yanawezekana. Huu mwezi wa 12 ukawe mwezi wa furaha majina yetu yakawekwe kwenye pdf zitakazotoka.
Mwez wa 2 mkuuUlifanya lini oral mkuu
Yaani Mungu atukumbuke, nauli mpya ni maumivu haswaa!Yaan na hizo nauli mpya naona kabisa jobless tunaenda kuumia, coz hizo gharama za Nauli kwa sisi wa mikoani ni hatarii
,[emoji24][emoji24][emoji24]
🙏🙏🙏Kabla mwaka kuisha nahakika Mwenyezi Mungu atatenda miujiza, wengi naamini mwaka ujao tutakuwa watumishi, yote yanawezekana. Huu mwezi wa 12 ukawe mwezi wa furaha majina yetu yakawekwe kwenye pdf zitakazotoka.
NENO NA KINABIIII.... nalipokea .Kabla mwaka kuisha nahakika Mwenyezi Mungu atatenda miujiza, wengi naamini mwaka ujao tutakuwa watumishi, yote yanawezekana. Huu mwezi wa 12 ukawe mwezi wa furaha majina yetu yakawekwe kwenye pdf zitakazotoka.
Hongera sana mwamba,ukawe mtumishi mwema kakaMREJESHO.
Wakuu nilikuwa nimeshataka kukata tamaa Ila Mungu anatuwazia mema kila wakati,
Nimebahatika kuchomoka kwenye database .
#This is December to remember.
Amen amen amen..Kabla mwaka kuisha nahakika Mwenyezi Mungu atatenda miujiza, wengi naamini mwaka ujao tutakuwa watumishi, yote yanawezekana. Huu mwezi wa 12 ukawe mwezi wa furaha majina yetu yakawekwe kwenye pdf zitakazotoka.
Napokea🙏🙏🙏Kabla mwaka kuisha nahakika Mwenyezi Mungu atatenda miujiza, wengi naamini mwaka ujao tutakuwa watumishi, yote yanawezekana. Huu mwezi wa 12 ukawe mwezi wa furaha majina yetu yakawekwe kwenye pdf zitakazotoka.
Tunasubiri tuone lakini hazijiWawakilishi wa uzi mliofanya Oral za TRA, tupeni mrejesho ili tuone kama tunapongeza au tunalaumu.
Nimesikia madogo wamepokea email za kupata Kazi huko.
uhakika ni tra mzee. watu walipata wametumiwaHizo email zina ukakasiii,wana uhakika zimetoka TRA kweli?
Kutumiwa email haimaanishi aliektumia ni authentic sender,nina was was na hizo emails ni spamuhakika ni tra mzee. watu walipata wametumiwa
TRA [emoji28]Yani watu hawaelewi kama majibu ni yametoka au bado, Ila nimeskia yametoka na wanatakiwa kureport tar 8 December Kwa hio post niliyoona.Hizo email zina ukakasiii,wana uhakika zimetoka TRA kweli?
Mambo ni mengi ,hatujazoea tumezoea PDF[emoji23]Kutumiwa email haimaanishi aliektumia ni authentic sender,nina was was na hizo emails ni spam
haha watoe pdf bwana haya mambo ha email hatujazoea bwanaMambo ni mengi ,hatujazoea tumezoea PDF[emoji23]
Yawezekana baadae watatoa mkeka labdahaha watoe pdf bwana haya mambo ha email hatujazoea bwana
tracareers@tra.go.tz hii inaweza kuwa spam email ??Kutumiwa email haimaanishi aliektumia ni authentic sender,nina was was na hizo emails ni spam