Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Yaan na hizo nauli mpya naona kabisa jobless tunaenda kuumia, coz hizo gharama za Nauli kwa sisi wa mikoani ni hatarii

,[emoji24][emoji24][emoji24]
Yaani Mungu atukumbuke, nauli mpya ni maumivu haswaa!
 
Back
Top Bottom