ile email iliyokuwa inatoa update tangu mwanzo wa mchakato ndio hiyo iliyoita watu kazini. mim sikuwa shortlist kwenye interviiew nikatumiwa email na aliyepata kanionesha hiyo email. yaani kwa kifupi ni email kutoka tra sio spamKutumiwa email haimaanishi aliektumia ni authentic sender,nina was was na hizo emails ni spam
Hii haiwezi kuwa kanjanja.tracareers@tra.go.tz hii inaweza kuwa spam email ??
Tuone hio email.ile email iliyokuwa inatoa update tangu mwanzo wa mchakato ndio hiyo iliyoita watu kazini. mim sikuwa shortlist kwenye interviiew nikatumiwa email na aliyepata kanionesha hiyo email. yaani kwa kifupi ni email kutoka tra sio spam
Tunasubiri tuone lakini haziji
mimi pia nimeoneshwa mkuu. sijafanya interview za tra ila watu wangu wa kkaribu wamefanya na baadhi wamepataTuone hio email.
Format ya e-mail hizi ina ulakini, ni ngumu kuamini hizi kama ni official.Nimezikuta mahaliView attachment 2832666View attachment 2832668
Unafikiri hawaendi kisa kuna walakini lazima waendw hayo mambo mengine watajua baadae huko mbeleniBinafsi kwa mliofanya huo usaili huko TRA na mmetumiwa hizo Emails za kukutaka uripoti kituo Cha kazi ripotin haraka. Halafu Mambo mengine mtajua mkifika huko, wahini muwekwe kwenye payroll ya disemba. Hongereni nyote mliopata.
Ni kweli kuna utata mwingi kwenye hizi emailsFormat ya e-mail hizi ina ulakini, ni ngumu kuamini hizi kama ni official.
Mkuu tatizo watu wamezoea kuona Pdf, ndiyo maana wanapata walakini.Unafikiri hawaendi kisa kuna walakini lazima waendw hayo mambo mengine watajua baadae huko mbeleni
Nfkri ishu sio kutumiwa email but issue je hizi emails zntoka kwao TRA kwelii?au ni spamMkuu tatizo watu wamezoea kuona Pdf, ndiyo maana wanapata walakini.
Yaani waende tu itajulikana hukohuko
Shida ya hiz Automatic Mail wengine hatuzipatagi kabsaNimezikuta mahaliView attachment 2832666View attachment 2832668
tarehe 8 wanakwenda kuripoti tutajua kama ni spam au officialNfkri ishu sio kutumiwa email but issue je hizi emails zntoka kwao TRA kwelii?au ni spam
Hili ndilo la msingi kabisaatarehe 8 wanakwenda kuripoti tutajua kama ni spam au official
Kweli sababu tuliyotumiwa mara ya kwanza ni tofauti na hiviFormat ya e-mail hizi ina ulakini, ni ngumu kuamini hizi kama ni official.
Nasemaje, kwa hii email waliotumiwa wachinje mbuzi kujipongeza.Nimezikuta mahaliView attachment 2832666View attachment 2832668
Za ndani kabisaaa au ??WAKUU LEO KUNA MKEKA WA PLACEMENT UTUMISHI, USIKOSE BUNDLE NI BONGE LA PDFFF