Isije ikawa ndio wewe mzee wa flash[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], JF tunaishi kitaalamu sana.Mimi nakwambia Andaa Nauli, na kama unabisha wait IT adondoshe Pdf uone shuhuda... Na halmshauri zimejaa yani ni mwendo wa Mitaasisi mi TBS huko, miofisi mikubwa mikubwa ofisi ya waziri mkuu, ofisi ya makamu wa raisi... Hazina hazina , Tume ya uchaguzi yaniiii Waits for Asali
si uanjua wenge tena ila mikando inatufanya tunakuwa na hatujiwekei tena matarajio makubwa pia tunazidi kupambana. interview ya mwisho nimefika oral na hakuna anaejua kuanzia majirani mpaka familia 😂 😂 😂 .Inafanana kabisa na scenario yangu ya interview ya kwanza😂😂😂
aisee ukimya ni muhimu sana.tatizo zile interview za mwanzo mtu anakua wa moto yaani kichwa hakitulii ukiitwa interview unajua unaenda kuanza kazi yaani ukoo lazima ujue.ukikandwa sasa ndio kichwa kinakaa sawa..Hahahaaa.
Mimi pia wakati napambana na mikando, watu wachache walikuwa wanajua tu.
Ndugu wengi walikuwa hawajui kama huwa napiga route za Dom isipokuwa mmoja tu ambaye nilikuwa namkopesha hela, ila ikifika siku za mikando ndio namdai na inakuwa nafuu kulipa kumbuka ndugu huwa hakopeshwi, mikando ilinifanya nipate nguvu ya kumdai.
Ukiachana na family yangu ndani, wwngine waliokuwa wanajua ni watu wa kijiweni tu sababu ya kuomba ruhusa huko kijiweni.
Kwa hiyo nilipokuwa nakandwa hawa watu ndio walikuwa wanajua tu.
Ndugu wengine walikuja kusherehekea tu ushindi baadae ndipo wakajua kumbe niliwahi kufanya mikando.
Kupiga hustle kimya kimya napo kuna faida yake, siku ukiibuka watu wataanza kushangaa na kukupa kaheshima hivi..
Noo ukikandwa wala huwazi nauli, Unawaza zile Marks kufikia Passmark., Mfano umepata 47 thn wamekatia 50 🤣🤣...kichwa kinawaka Moto sasa zile 3 huyu msahihishaji si angeweka tuuu....au daaah hizi nilizokosa swali fulaniukikadwa unawaza nauli bora ungenywea bia😅
si uanjua wenge tena ila mikando inatufanya tunakuwa na hatujiwekei tena matarajio makubwa pia tunazidi kupambana. interview ya mwisho nimefika oral na hakuna anaejua kuanzia majirani mpaka familia 😂 😂 😂 .
Noo ukikandwa wala huwazi nauli, Unawaza zile Marks kufikia Passmark., Mfano umepata 47 thn wamekatia 50 🤣🤣...kichwa kinawaka Moto sasa zile 3 huyu msahihishaji si angeweka tuuu....au daaah hizi nilizokosa swali fulani
Aminii Elnikikandwa je..?
aya bana nashkuru kwa kunipa moyo..Aminii El
🤣🤣Isije ikawa ndio wewe mzee wa flash[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], JF tunaishi kitaalamu sana.
Sema maboot ya Makofia360 yamekukaa vizuri sana.
asali inahamahama naona sa hivi wanalamba madereva.😃😃😃 watumishi tarajali naimani Ipo siku huu Uzi utageuka wote uwe wakukumbushiana mikando ilivyokuwa, naona kama vile pdf linalofwata shuhuda zitakuwa nyingi sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]aisee ukimya ni muhimu sana.tatizo zile interview za mwanzo mtu anakua wa moto yaani kichwa hakitulii ukiitwa interview unajua unaenda kuanza kazi yaani ukoo lazima ujue.ukikandwa sasa ndio kichwa kinakaa sawa..
Ndo unapoelekea uko mkuu😃😃😃🤣 🤣 mie sio mtumish bana
Niliwahi kukosa marks 12, nilihuzunika sana[emoji23][emoji23][emoji23]Noo ukikandwa wala huwazi nauli, Unawaza zile Marks kufikia Passmark., Mfano umepata 47 thn wamekatia 50 [emoji1787][emoji1787]...kichwa kinawaka Moto sasa zile 3 huyu msahihishaji si angeweka tuuu....au daaah hizi nilizokosa swali fulani
😅 nikifanyaga pesa rahis lakin nikala 47 nilichoka, na j mosi natakiwa niwe dom sasa nawaza sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hiyo mentality nilikuwa nayo ila nilinyamazishwa na written ya kwanza hadi kuingiwa na hofu
🤣 🤣aisee ukimya ni muhimu sana.tatizo zile interview za mwanzo mtu anakua wa moto yaani kichwa hakitulii ukiitwa interview unajua unaenda kuanza kazi yaani ukoo lazima ujue.ukikandwa sasa ndio kichwa kinakaa sawa..
Hizi written za kwanza wengi wetu hatukuachwa salama zilitunyamazisha midomo🤣🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hiyo mentality nilikuwa nayo ila nilinyamazishwa na written ya kwanza hadi kuingiwa na hofu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hiyo mentality nilikuwa nayo ila nilinyamazishwa na written ya kwanza hadi kuingiwa na hofu