Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Mimi nakwambia Andaa Nauli, na kama unabisha wait IT adondoshe Pdf uone shuhuda... Na halmshauri zimejaa yani ni mwendo wa Mitaasisi mi TBS huko, miofisi mikubwa mikubwa ofisi ya waziri mkuu, ofisi ya makamu wa raisi... Hazina hazina , Tume ya uchaguzi yaniiii Waits for Asali
Isije ikawa ndio wewe mzee wa flash[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], JF tunaishi kitaalamu sana.

Sema maboot ya Makofia360 yamekukaa vizuri sana.
 
Hahahaaa.

Mimi pia wakati napambana na mikando, watu wachache walikuwa wanajua tu.

Ndugu wengi walikuwa hawajui kama huwa napiga route za Dom isipokuwa mmoja tu ambaye nilikuwa namkopesha hela, ila ikifika siku za mikando ndio namdai na inakuwa nafuu kulipa kumbuka ndugu huwa hakopeshwi, mikando ilinifanya nipate nguvu ya kumdai.

Ukiachana na family yangu ndani, wwngine waliokuwa wanajua ni watu wa kijiweni tu sababu ya kuomba ruhusa huko kijiweni.

Kwa hiyo nilipokuwa nakandwa hawa watu ndio walikuwa wanajua tu.

Ndugu wengine walikuja kusherehekea tu ushindi baadae ndipo wakajua kumbe niliwahi kufanya mikando.

Kupiga hustle kimya kimya napo kuna faida yake, siku ukiibuka watu wataanza kushangaa na kukupa kaheshima hivi..
aisee ukimya ni muhimu sana.tatizo zile interview za mwanzo mtu anakua wa moto yaani kichwa hakitulii ukiitwa interview unajua unaenda kuanza kazi yaani ukoo lazima ujue.ukikandwa sasa ndio kichwa kinakaa sawa..
 
Kama vile tupo wote Mimi Hadi nilionao kibaruani sijawambia na hawajui na hawatojua labda nipate placement 😂😂😂
si uanjua wenge tena ila mikando inatufanya tunakuwa na hatujiwekei tena matarajio makubwa pia tunazidi kupambana. interview ya mwisho nimefika oral na hakuna anaejua kuanzia majirani mpaka familia 😂 😂 😂 .
 
Nyie nyie mm nilikulaga 48.5 kidogo nilie🤣🤣🤣
Noo ukikandwa wala huwazi nauli, Unawaza zile Marks kufikia Passmark., Mfano umepata 47 thn wamekatia 50 🤣🤣...kichwa kinawaka Moto sasa zile 3 huyu msahihishaji si angeweka tuuu....au daaah hizi nilizokosa swali fulani
 
aisee ukimya ni muhimu sana.tatizo zile interview za mwanzo mtu anakua wa moto yaani kichwa hakitulii ukiitwa interview unajua unaenda kuanza kazi yaani ukoo lazima ujue.ukikandwa sasa ndio kichwa kinakaa sawa..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hiyo mentality nilikuwa nayo ila nilinyamazishwa na written ya kwanza hadi kuingiwa na hofu
 
Noo ukikandwa wala huwazi nauli, Unawaza zile Marks kufikia Passmark., Mfano umepata 47 thn wamekatia 50 [emoji1787][emoji1787]...kichwa kinawaka Moto sasa zile 3 huyu msahihishaji si angeweka tuuu....au daaah hizi nilizokosa swali fulani
Niliwahi kukosa marks 12, nilihuzunika sana[emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hiyo mentality nilikuwa nayo ila nilinyamazishwa na written ya kwanza hadi kuingiwa na hofu
😅 nikifanyaga pesa rahis lakin nikala 47 nilichoka, na j mosi natakiwa niwe dom sasa nawaza sana
 
Sheria Ukienda kwenye mikando Marufuku kuhadithia majirani , Ndugu , Wapenzi ,hata marafiki Nenda kimya kimya.... Sio wote watafurahia upate kazi.. Cz Asilimia 99 ya watu wanaotuzunguka wanajua ukipata kazi serikalini umetoboa....wao hawajui halmashauri wala nn wanajua ukiwa serikalini umeula, so lazima husda ziwepo so unashangaa unakosa marks moja kumbe kuna ndugu anakusagia kunguni kwa waganga....

Ndio maana nikamwambia innojembe huwezi toboa cz tayari umepanick na umeshirikisha raia wote kuwa unaenda usaili wa seeikalini.
 
Back
Top Bottom