Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?


Ndyo kujaribu sio dhambi na kwenda na matokeo yako ndo shida haswaaaa kikubwa ni kumuamini MUNGU na maandalizi mazuri kabla ya usaili hii ni kusoma na kukifanyia kazi kila kitu cha muhimu kwenye kada yako pili ni kuwauliza wazoefu vitu vya muhimu vya kuvifatilia hapo unakua umemaliza sasa kama bahati ni yako itakuja
 
Boss haya maelezo bila Screenshoot ni Batiri, Kuitwa tu interview ulipiga hadi kelele ukasema Siamini wakuu.... Leo uiende hadi Oral ule moto wa furaha ukate ghafra,??🤣🤣 ....Uende Shoppers sijui Mall?? Boss lete screenshoot isiyo na shaks kuhusu kuwa selected for Orall Mimi hapa na left JF.😀....Unaacha kusema ukweli tukusaidie wenzio wanaenda na spirit Gani .... Wewe unadanganya ili kufurahisha nafsi yako....

Yani utumishi muende 26 Wapite 17... It means wawakande Watu 9 tuu... Basi hao sio utumishi.

So boss tuna wait Screenshot ili nileft cz niliahidi.
 



Mfa maji haishi kutapatapa ndo ujue mimi kipindi nauliza halikuwa wengé la kazi Bali nilikua nataka nujifunza kazi ninayo ambayo inanifanya niweke Bando la mia 5 japo sijapata kazi ya kiendesha maisha yangu kwa kiasi cha kuweka GB 1 kwa siku kwahyo sehemu ya kumsaidia mtu msaidie no matter what is hatujuani ila tunaweza kusaidiana....All in all ukimya wangu ndo umewasumbua wengi
 

IT personel ukileft JF kwasababu ya mafanikio yangu basi itakua umemkufuru Mungu....
 
Boss mimi nitakuwa mtu wa mwisho kukuamini...
 
Wewe ulikuwa mkorofi! Reaction ya Mr. Kenedy ilikuwaje alijibu
Ajibu wapi?🤣🤣
Alipigwa butwaa,manake hakutegemea like swali
Nilimstukiza
Yule jamaa wa camera akaja akanishika mkono nikanyanyuka,nikatoka nje, interview ikawa imeisha hivyo.
 
Na Mimi siko hapa kumuaminisha mtu asiyeijua safari na chimbuko langu[emoji419][emoji1488] PSRS wanaofisi kwaajiri ya kukupa imani unayotaka uwe wa kwanza kuipata na Documents zote wamebaki nazo pale
Innojembe kwanza acha na huyu jamaa anitwa sijui IT mpiga ramli tu wala hada link information yeyote ya psrs.

Jamaa ni Muongo balaa.

Ana chuki na maendeleo ya mtu.

Kitendo cha kutolukuamini kama wewe umefaulu kinaonyesha jamaa ana amini kabisa wewe ni kilaza au hauna sifa za kuajiliwa
 

Binadamu wote hatuko sawa Mimi anitetereshi uyo na wala simchukii wala simzingatii naona ni kama alikuja kuipamba safari ya mafanikio yangu iwe na ka story kafupi ambako atakuwemo ndani umo
 
Binadamu wote hatuko sawa Mimi anitetereshi uyo na wala simchukii wala simzingatii naona ni kama alikuja kuipamba safari ya mafanikio yangu iwe na ka story kafupi ambako atakuwemo ndani umo
Kwanza hongera sana, sijui ni sababu ya umri wangu au vipi? Sasa tulia umalizie kabisa ungwe ya mwisho maana uharibifu hutokea zaidi mwishoni. Ukishinda ndio utampelekesha mtesi wako utakavyo.

Uwe na asubuhi njema.
 
Kwanza hongera sana, sijui ni sababu ya umri wangu au vipi? Sasa tulia umalizie kabisa ungwe ya mwisho maana uharibifu hutokea zaidi mwishoni. Ukishinda ndio utampelekesha mtesi wako utakavyo.

Uwe na asubuhi njema.

Kwako pia...karibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…