Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Pitia vizuri kanuni zina majibu mazuri ya haya maswali yako mkuu wa kazi.


...........Happy Indepence Day.
Boss Hili swala lishazungumzwa zamani sana ,Maybe umeingi juzi..

Kwa kada zenye practical watachukua matokeo ya practical + oral.

Kwa kada zisizo na practical... Watachuku matokeo ya ORAL TU
 

We huna jipya bhaaaana endelea kuchoma CD apo mtaani kwako izi zingine kelele tu hakuna unachojua[emoji1434][emoji1488]otherwise LEFT TU maana yameshakushinda unabaki unatapatapa...sasa we ukitabiri ikatick unakuja race kuwaaminisha watu (niliwaambia na imekua) sasa kama unajua unachofanya we tabiri kaaa kimya uo mwingne utakua USH**£a mtoto wa kiume utashikwa TVKO
 
Ni left kwa Sababu ya Fundi AC mkuu,🤣🤣 Hebu kuwa Serious Basi... Mimi ndio nimesema wewe hujafauru ... Na ndio Final Say...
 
Ni left kwa Sababu ya Fundi AC mkuu,[emoji1787][emoji1787] Hebu kuwa Serious Basi... Mimi ndio nimesema wewe hujafauru ... Na ndio Final Say...

Na wewe ndo ulisema hata WRITTEN sitoboi[emoji23][emoji1430]
Yes I’m fundi AC and that mi ndo Yule nliohusika katika baadhi ya project za nchi yangu kama SGR,Rockcity Mall,NyerereHydoelectric Power na nyingine nyingi so UFUNDI ndio maisha yangu and I deserve to be proud of being in this ROLE....sasa sijajua kam kazi yako inaweza kuniletea kambonga nyumbani kwangu au kama inaweza niwekea mafuta kwenye ki I.s.t changu basi I will respect YOU!
 
Ni left kwa Sababu ya Fundi AC mkuu,[emoji1787][emoji1787] Hebu kuwa Serious Basi... Mimi ndio nimesema wewe hujafauru ... Na ndio Final Say...

Na ungekua unafaham lengo la utumishi kuwapitisha wote waliofanya practical usingembwela ivo out na baadhi ya VETA kutoa hii course ishu ya DIPLOMA ana BACHELOR ya hii inshu ni nadra sana kwahyo uhitaji wa qualified technician kwenye fani kama hizi ni hadimu that’s way DATABASE inatakiwa iwe imeshiba shiba kwa watu kama sisi tukiitajika
#IT_nisikufiche_umeshayatimba[emoji23][emoji23]
 
KUNA JAMAA NIMEMTUMIA UJUMBE KUHUSU LEO PLACEMENT .... KAMA LEO ITATOK AU HAITOKI NA YUPO ACTIVE KILA SIKU ....NAOMBA HIYO SMS ISCREESHOOT THN KESHO MUDA KAMA HUU NAOMBA IWEKWE HAPA KWENYE GROUP....ASANTE.

SASA HIVI NI SAA 12:51 AMENIULIZA INBOX NA NIMEMJIBU SURE KABISA ... SO NAKUOMBA VYOVYOTE ITAKVYOKUWA UTUME HIYO SCREENSHOOT YA NILICHOKUJIBU.
-----------------------------
Huyu Ujinga mtupu nitakutumia majina mawili ya watu watakaotoka kwenye pdf j.3 (11) wewe ni mpinzani mkubwa sana , naomba hayo majina usipoyaona naomba uni prove wrong
 

Kwahyo uko KITENGO[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]siku sio nyingi utasema wewe ni usalama , mbona kama kusema PDF inatoka lini umeona ndo kimchongo...All in all njoo unibebe vifaa twende DODOMA bungeni tukaweke systems za 𝑯VAC sawa
 
Labda Bunge la Kwenu huko mbagara Majimatitu 🤣, Mtu hata Kitamburisho kimoja Huna Thn Uende Bungeni... Ukafunge AC ukituibia Je....? Katafute kwanza ID... hata barua ya utamburisho ulikuwa hujui wanaipata wapi thn uende Bungeni Si utatuibia Mbwa wewe(jokes) 🤣🤣
 

Shangaaaaa na wewe
 
Mkuu naomba ikifika kesho saa Sita na Dkk 15... Itoe hiyo screenshoot nimekutumia ...ya swali uliloniuliza kuhusu leo placement ipo au haipo.

Maana kuna mjomba ,amesema kabisa enh unabahatisha sijui mtu ukifanya interview lazima placement itoke nyieee 🤣🤣🤣

1. Hivi Ujinga mtupu unajua kuna watu wana miaka hata 2 now walifanya usaili wa Taasisi fulani hiyo taasisi mpka leo hakuna aliyeitwa. hata mmoja. Na hakuna tangazo kama ule usaili ulifutwa??? 🤣🤣

Thn unaleta hoja dhaifu eti kama mtu kafanya interview lazima majibu yaje 🤣...

Huyu fundi AC na Mafridge Mabovu anasema ooohh eti mimi nabahatisha kusema Pdf zinatoka lini, Mkuu Bahatisha na wewe M....f.....N.
 

Ayaaa sawa JOBLESS we tukikujibu ndo unapata pakujifichia ngojea tukuache ujitafute[emoji23][emoji23][emoji23]kama kijinga
#IT_UNALEFT_LINI
 
Ayaaa sawa JOBLESS we tukikujibu ndo unapata pakujifichia ngojea tukuache ujitafute[emoji23][emoji23][emoji23]kama kijinga
#IT_UNALEFT_LINI
Mimi Nipo hapa kuwapa watu za Ndani, .... Siwezi Ku left kwa Mjinga Mmoja ambaye hata ID hana ... anasema anaenda kazi za Bunge yani bunge wakupe wewe kazi wakati hata mwenyewe hujielewi?? 🤣 .... Wewe Mwenzio ana 95 wewe una 60+ thn Uje utupigie kelele unataka placement ... Unafikiri placement ni mandazi enh??
 
Reactions: 10k

Asanteeee [emoji1488]vp kuusu kufeli written iliishia wap boss, mpka saiv ubao unasoma selected for ORAL
 
Asanteeee [emoji1488]vp kuusu kufeli written iliishia wap boss, mpka saiv ubao unasoma selected for ORAL
Mkuu hukufanya Written ...Mbona unataka kuforce Mambo...Si mmeanza na practical???

Alafu huu uzi ulikuwa wa wasomi, Nyie Mafundi mnauzi wenu humu sio kwako... Cz hakuna Bachelor ya Ufundi Ac na Mafridge yani wewe hili Gari unevamia kwa Mbele ...So angalia Utakuja uponza usichana wako Boss wangu.
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]MTAPATAPA MWAKA HUU TUTAKUKAANG’A KUJIFANYA UNAJUA KILA KITU KWAHYO CHUO CHA MBEYA,DIT,FISHERIES MBEGANI wanatoa nini[emoji39]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]MTAPATAPA MWAKA HUU TUTAKUKAANG’A KUJIFANYA UNAJUA KILA KITU KWAHYO CHUO CHA MBEYA,DIT,FISHERIES MBEGANI wanatoa matako ya mama ako pale[emoji39]
Hao Machizi wenzio Yani usome Degree Ya Ufundi AC na Mafridge Kama sio Wehu Si Uwendawazimu .... Yani wewe na anayekulipia ada wote watakuwa hamnazo
 
Hao Machizi wenzio Yani usome Degree Ya Ufundi AC na Mafridge Kama sio Wehu Si Uwendawazimu .... Yani wewe na anayekulipia ada wote watakuwa hamnazo

Bro sio kila jobless ni kitotokitoto kama wewe anaelipiwa ada kumbe nabisha na watoto mlioko nyumbani[emoji1488][emoji847]SORRY SIKUJUA basi uwezi ONA najibizana na wewe uwenda ki umri ni sawa na mwanangu EVANCE [emoji1434]SEE YOU AGAIN I CANT REPLY ANYTHING FROM YOU MTOTO WETU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…