captain sparrow
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 949
- 2,061
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii picha yako naona inafaha kuwa dp yng
Dah so sad hii picha ina maudhui mengi Sana ukiitazamaHii picha yako naona inafaha kuwa dp yng
No more government jobs.
Hawachelewi KukuSuprise , Wakapost Tangazo la Kazi La Kada yako ile ile Uliyofanya Oral na unasubiria Majibu.... Huwajui UTUMISHI VIZURI sheikh wangu 🤣🤣No more government jobs.
Wafanye tu watakavyo , this time hakuna wakuwaambia chochote na hakuna wakuwatisha..,ila MUNGU anawaona.Hawachelewi KukuSuprise , Wakapost Tangazo la Kazi La Kada yako ile ile Uliyofanya Oral na unasubiria Majibu.... Huwajui UTUMISHI VIZURI sheikh wangu 🤣🤣
Daa yani wote hao wanakuangalia wewe na wewe unasubiri utumishi watoe tangazo upate received wakati huo huo taasisi zinataka kuajiri zenyewe na ww huna connection. Nssf wanaajiri watu wao wa ndani na Tra wanawafanyia watu interview alafu kuwaita wanawatumia email wanaficha majina
maumivu yanazidi mpaka tunakuwa sugu tunabaki kusema liwalo na liweWHEN THE PAIN IS DEEP.....PEOPLE REMAIN SILENCE.
(Maumivu Yakizidi, Watu Hawalii Tena, Ukimya hutawala.).✌️
yaani hapa kama husubiri placement wala huna received kupata kazi mwaka ujao uishe labda 2025
yaani hapa kama husubiri placement wala huna received kupata kazi mwaka ujao uishe labda 2025
Boxing Daytukutane mwakani.
Mimi nilishalalamika Sana kuhusu results za oral interview ziwekwe wazi , lakini mawakala was psrs wakawa wanapinga.Hivi Utumishi Hawaoni Kama kuna ulazima wowote , Mtahiniwa Kujua Matokeo Yake Ya Oral....
Hata kama Sio kutoa Pdf ila kwenye Account yake aweze kujijua??
Kuna Sababu waliisema kuwa hawatoi matokeo ya Oral kwa sababu watu hawataenda Kwenye interview...
Eti kwa kuwa labda umeona Upo succffull Oral maybe umepata 70 . Thn automatically unajijua upo Database so hata zikitokea nafasi tena ww hutoenda. Ukisikilizia wakati wanataka wewe uende...
So ukiangalia huu, Muongozo ni wa hovyo cz asilimia 90 ni watoto wa wakulima kumtengezea huyu mtu mazingira ya kuhudhuria Interview hata kama yupo Database hawaoni kama , Ni kumuongezea huyu Kijana Gharama Maana hamna hamna gharama ya kukaa Dodoma siku 3. Ili usitweze utu wako uwe hata na Elfu 50.... Ukiachana na transport Cost.
✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅.
Mimi nafikiria matokeo ya Oral muhusika ni muhimu kuyajua ili Ajitathmini.... Unakuta Jamaa nyie Mnapiga Kelele Placement Kumbe Mna 39. Yani hampo hata ....Kazi kujimalizia Bundle na kuwapa watu tumaini mtaani kwako kuwa ulifika oral so upo database 😄
yani wanataka watu wafanye inerview alafu placemebt hawatoi hawatoi.Hivi Utumishi Hawaoni Kama kuna ulazima wowote , Mtahiniwa Kujua Matokeo Yake Ya Oral....
Hata kama Sio kutoa Pdf ila kwenye Account yake aweze kujijua??
Kuna Sababu waliisema kuwa hawatoi matokeo ya Oral kwa sababu watu hawataenda Kwenye interview...
Eti kwa kuwa labda umeona Upo succffull Oral maybe umepata 70 . Thn automatically unajijua upo Database so hata zikitokea nafasi tena ww hutoenda. Ukisikilizia wakati wanataka wewe uende...
So ukiangalia huu, Muongozo ni wa hovyo cz asilimia 90 ni watoto wa wakulima kumtengezea huyu mtu mazingira ya kuhudhuria Interview hata kama yupo Database hawaoni kama , Ni kumuongezea huyu Kijana Gharama Maana hamna hamna gharama ya kukaa Dodoma siku 3. Ili usitweze utu wako uwe hata na Elfu 50.... Ukiachana na transport Cost.
✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅.
Mimi nafikiria matokeo ya Oral muhusika ni muhimu kuyajua ili Ajitathmini.... Unakuta Jamaa nyie Mnapiga Kelele Placement Kumbe Mna 39. Yani hampo hata ....Kazi kujimalizia Bundle na kuwapa watu tumaini mtaani kwako kuwa ulifika oral so upo database 😄
Sikiliza Interview kipindi kile, TRA wamejitoa wakawa wanaenda... Kwenye Media ndio wakasema hivyo,yani wanataka watu wafanye inerview alafu placemebt hawatoi hawatoi.