El marabiosh
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,382
- 4,978
hao ni very sensitive ajira zao kama Tiss tu, uwezi sikia popote. ila mama samia mwaka huu aliwaundia tume wachunguzwe jinsi wanajiendesha kwa kupakazia watu na mifumo yao ya ajiraHivi jamani hawa DCEA ajira zao zipoje.
Sijaona zikitangazwa si utumishi wala mahala popote.
chief naingiaga kwa manati humu, coz nimebanwa na majukumu.Ma legend wa uzi huu tumepotea au tumeshasahaulishwa na hizi asali tulizolamba??
Mkuu mfwende sawadogo upo wapi siku hizi ndugu yangu ulikuwa mchangiaji mzuri umepotea mazima, na wengine wengi tu.
Au ni zama zilishapita, kizazi kipya kimekuja na hasira za kutukana ila silaumu najua uchungu wa kuwa jobless inakera sana yaani... Ila ni swala la mda tu kila kitu kitaenda sawa.
Kakaaa,yani we Acha tu wapo wanaotukana kimya kimya uku,ukiingia kwnye web kuna wa2 wanasonya adi shetan anashangaa[emoji23][emoji23],but neno subira ni gumu mno inataka imani kweli kwl ukilijua ilo umeyashinda yote,ukiwa nalo hata kujicontrol ni rahis maana wote ss n binadamu 2na mioyo ya kuumia,tuna nyongo mweee..but kuna mwandishi mmoja wa kitabu cha war and peace kuna maneno mazuri anasema hivi "the two most powerful warriors are patiance and time" ss hii alizungumzia kma tactics au mbinu za kummuattack adui wakati uko vitani...but these two warriors can be applied in our situations,kuna wakati unatakiwa uwe na subira,mambo yanahitaji muda,so kma jambo linahitaji usubiri kwa muda basi unahitajika usubir hivyo hakuna namna utafanya...wakati sahihi ukifika basi utafanikiwa tu,just imagine umehudhuria interviews nying but hujapita lkn ypo aliyehudhuria just 1 interview na akapita na ypo anakula zke asali asaivi...so tactics ni mbili tu hakuna kingine subira na Acha muda uongeee.Ma legend wa uzi huu tumepotea au tumeshasahaulishwa na hizi asali tulizolamba??
Mkuu mfwende sawadogo upo wapi siku hizi ndugu yangu ulikuwa mchangiaji mzuri umepotea mazima, na wengine wengi tu.
Au ni zama zilishapita, kizazi kipya kimekuja na hasira za kutukana ila silaumu najua uchungu wa kuwa jobless inakera sana yaani... Ila ni swala la mda tu kila kitu kitaenda sawa.
Yaani ni upuuzi, watu wanakuwa kama watoto kucheza na hisia za watupia kama kama unapiga ramli za mikeka ,wambie washikaji humu kuwa hii ni ramli otherwise unakuwa unacheza na hisia za watu.
msoto wa ujobless naujua ,poleni sana wakuu wa idara. tutachomoka tu mtaani
Huu ujinga muache, IT ni mjomba wako?!leo kuna pdf litatoka baadae
Jobless for life...watu tumevurugwa...[emoji3][emoji3][emoji3]Huu ujinga muache, IT ni mjomba wako?!
sasa huo muda utafika lini jamani wengine umri unaelekea kwenye kustaafu...Kakaaa,yani we Acha tu wapo wanaotukana kimya kimya uku,ukiingia kwnye web kuna wa2 wanasonya adi shetan anashangaa[emoji23][emoji23],but neno subira ni gumu mno inataka imani kweli kwl ukilijua ilo umeyashinda yote,ukiwa nalo hata kujicontrol ni rahis maana wote ss n binadamu 2na mioyo ya kuumia,tuna nyongo mweee..but kuna mwandishi mmoja wa kitabu cha war and peace kuna maneno mazuri anasema hivi "the two most powerful warriors are patiance and time" ss hii alizungumzia kma tactics au mbinu za kummuattack adui wakati uko vitani...but these two warriors can be applied in our situations,kuna wakati unatakiwa uwe na subira,mambo yanahitaji muda,so kma jambo linahitaji usubiri kwa muda basi unahitajika usubir hivyo hakuna namna utafanya...wakati sahihi ukifika basi utafanikiwa tu,just imagine umehudhuria interviews nying but hujapita lkn ypo aliyehudhuria just 1 interview na akapita na ypo anakula zke asali asaivi...so tactics ni mbili tu hakuna kingine subira na Acha muda uongeee.
๐คฃ ๐คฃ ๐คฃ dahh.Huu ujinga muache, IT ni mjomba wako?!
Wenzangu mi nahisi labda tumefeli usaili,ujue majina yalitoka mengi sana mwaka huu na hadi leo bila bila!Tujipange kivingine na kuchangamkia matangazo yakitoka.Niko downutumishi mnasababisha watu sukari ziwe juu..!!
relax tafuta mishe ufanye vitu vidogo vidogo kama hivi havitakuumiza broHuu ujinga muache, IT ni mjomba wako?!
ujinga wa mtu ni starehe yake. na leo nasema kuna pdf inatoka ili uumie tena ๐ ๐Huu ujinga muache, IT ni mjomba wako?!
Pdf ya Nini? (A) Placement (B) call for interview? Watu tumevurugwa mwaka unakata๐๐๐Ramli ya Leo pdf 99.8%
Jumatano 99.9%
Alhamis 100%
huu mwaka mimi nimeshashukuru nasubiri mwakani labda nitapataPdf ya Nini? (A) Placement (B) call for interview? Watu tumevurugwa mwaka unakata๐๐๐
๐๐๐Ramli ya Leo pdf 99.8%
Jumatano 99.9%
Alhamis 100%
Ya placement mkuu๐คฃ๐คฃ๐คฃPdf ya Nini? (A) Placement (B) call for interview? Watu tumevurugwa mwaka unakata๐๐๐