Armstrongs
Member
- Sep 8, 2022
- 54
- 280
Haya UTUMISHI waaachie basi keka la Database na wengine walambe asali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Napambana hadi mwisho kaka🥱 hadi za MDA nyingine nlizoapply mtaniona [emoji23], mpaka siku nikijiona nipo placedWewe ushapata kazi nakuambia, rudi tu home . Sasa hapo Dom unasubiri nin!
Hatari mzeee tupeanr moyo tuu mtaani kugumuwizy na Genuine raf munastahiri tuzo maana sio Kwa kutupa moyo huku
Mzee kazi unayo tayar tangulia Dom kuchukua barua pdf litafatia😂😂😂😂😂Hii suti yangu nitaupeleka wapi sasa usiseme hivyo mzee
😂😂😂😂😂Namuagiza Prok aje na barua yangu kutoka utumishi hamna haja ya pdf Yani interview nifanye Mimi afu nisubiri pdf hizi so dharau?Mzee kazi unayo tayar tangulia Dom kuchukua barua pdf litafatia
Kwa sababu hawana uhitaji kwa sasa.Wanajamvi,
Nilitaka kujua kwanini utumishi hutumia takriban miez miwili kuita watu kazini baada ya kufanya Oral, kuna nini kinacho endeleea?
Utumishi wametugomea [emoji2955][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Namuagiza Prok aje na barua yangu kutoka utumishi hamna haja ya pdf Yani interview nifanye Mimi afu nisubiri pdf hizi so dharau?
😂😂😂😂Wanadhalau nauli zetu hawaUtumishi wametugomea [emoji2955]
Hapo angalau unakuwa unajiamini kwenye masuala mazima ya kiusalama[emoji3][emoji3]Tumesoma wote chuo na law school, namjua ni kondoo wa Bwana. Halafu anatoka kwetu nlipozaliwa
Mimi haijabadilika ipo selected for oral Sasa mnanipa wasiwasi nimepigwa ngumi ndoige [emoji24],[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]oya kwahiyo nimekandwa au sio
Hahahahaa.Dah natamani ningekuwa wa kishua aisee, ningewarecruit nyote private naunda ata taasisi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
HaswaaaHapo angalau unakuwa unajiamini kwenye masuala mazima ya kiusalama[emoji3][emoji3]
Ulifanya taasisi gani?Mimi haijabadilika ipo selected for oral Sasa mnanipa wasiwasi nimepigwa ngumi ndoige [emoji24]
😂😂😂😂😂Kwahiyo mshatuona jobless ni wezi hahhhhHapo angalau unakuwa unajiamini kwenye masuala mazima ya kiusalama[emoji3][emoji3]
😂😂😂😂Hahhhhh daaah jobless haaminiki hata na jobless wenzieHaswaaa
Hahahahaa.
Huo ndio uhalisia wenyewe
Hapana hapana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo mshatuona jobless ni wezi hahhhh
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo mshatuona jobless ni wezi hahhhh
Jobless hadi utelezi mnautaka, sijui nguvu mnazitolea wapi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahhhhh daaah jobless haaminiki hata na jobless wenzie