Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Wanajamvi,

Nilitaka kujua kwanini utumishi hutumia takriban miez miwili kuita watu kazini baada ya kufanya Oral, kuna nini kinacho endeleea?
Kwa sababu hawana uhitaji kwa sasa.

Na pia kwa sababu wanajua maisha yamekupiga ,wanaacha wakupigee wee wakikikuita umenyooka kazi unafunga vizri

Au haujapataπŸ˜ͺπŸ˜ͺπŸ˜ͺπŸ˜ͺπŸ˜₯☻☻☻
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…