Utumishi wako fair
JF-Expert Member
- Nov 12, 2021
- 429
- 1,340
Mkuu nimefika pale ,Eneo lipo karibu na chuo kabisa.... Mimi nikataka kula chipsi naambiwa hapa chipsi hakuna mpaka upande gari 600 ,kule ndio zipo. Pale nje hamna hata kijana wa kuuza zile skins na boyfriend jeans za kina dada.... Hakuna hata Airjordan za kupanga chini za wale ma brotherman... Sawa hata office za kuweka kucha kwa wale warembo wa chuo na wadada wa ushuani pale .... Hiyo Tuache... Wale watu wanapata shida ya chakula eneo lile mpka wapande gari... Yani hata matunda ya kukata hakuna... 🤣 ... Ukiuliza eti pale ushuani kama posta vile 🤣....Kama hujawahi fika sehemu kama POSTA. thn tafuta huduma ya kula uone balaa lake na buku 2 yako hiyo.- kwa maelezo yako ya awali napinga kuwa ofisi iko Town, huwezi kusema umeenda eneo Kila huduma hakuna Tanzania hii? hiyo siyo mijini hiyo ni zile halmashauri za vijijini
-