Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

IFM Kuna brela,chuo Cha utalii, chuo Cha Utumishi wa umma, wizara ya nishati na madini, Tanroads HQ,hazina vyote viko karibu,
Ndio nimekuuliza mtu kama wewe halmashauri unaweza kwenda ukakaa ukala hapo chakula cha elfu 4 na hushibi??? Maana nyie vyakula vyenu either pass ndefu au kuna vile vibanda umiza 🤣
 
Hahaaaa[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] ,jobless WA nchi hii mna jeuri sana
Yaani asali ya halmashauri mnaniita asali ya nzi
Aisee [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Siku inzi akiacha ujinga mbona atatengeneza asali nzur tuu
 
Boss kama umepangwa halmashauri ni wewe... Na ukishindwa tumia fursa ni wewe na akili zako za darasani... Huko vijijini kuna wadau ni matajiri huku mjini hakuna? Thn dhumuni la kuishi maisha ya amani ni kuwa financial freedom ... Unaweza kuishi bila kutegemea chanzo kimoja cha hela...mimi hata ningepangwa halmashauri ningeenda.. japo nyota yangu inaonekana ni ya sehemu nono ndio maana nimeangukia huku. Cz ukifanya interview utumishi wanakupanga popote. Inategemea na nyota yako kama ya shamba utaenda tuu.
1,600,000/-
Take home ni sh ngap mkuu?
 
Ndio nimekuuliza mtu kama wewe halmashauri unaweza kwenda ukakaa ukala hapo chakula cha elfu 4 na hushibi??? Maana nyie vyakula vyenu either pass ndefu au kuna vile vibanda umiza 🤣
Mimi sio kama ww, Mimi ni CPA, nafanya kazi zangu za pembeni za kihasibu nyingi sana, Mimi pia ni Tax Consultant nimesajiliwa na TRA,
Kwa mwezi sikosi 1,800,000/- za kufanya tax consultant na Auditing,and advisory usidhani nategemea salary, kama hujui moja ya faida ya kufanya kazi halmashauri ni kuwa unakuwa sio bize Sana
 
Mimi sio kama ww, Mimi ni CPA, nafanya kazi zangu za pembeni za kihasibu nyingi sana, Mimi pia ni Tax Consultant nimesajiliwa na TRA,
Kwa mwezi sikosi 1,800,000/- za kufanya tax consultant na Auditing,and advisory usidhani nategemea salary, kama hujui moja ya faida ya kufanya kazi halmashauri ni kuwa unakuwa sio bize Sana
Sawa mkuu.
 
Kama una uhakika na mishe zako za huko mtaani,huku hapakufai. Ni kupotezeana tu muda. Katika maishi nimejifunza kusimamia na kukamilisha kile ulichokianza. Haya mambo ya kuhama leo huku unafanya jambo hili kesho kule unafanya jambo lile yanaturudisha sana nyuma.
Achana na hiyo kaz mkuu njoo tupige mishe mishe
 
Yani Nina Basic ya millioni na laki 6+. sina mkopo board.. ofisi ipo town, yani usipofunga dirisha unasikia sauti za honi za magari na brake. Alafu wewe wa Tgs D sijui E ..ile increment yako ya mwaka ...ifanye mara mbili ndio increment yangu ya mwaka.

Thn anatokea mtu anasema ooh ,sijui naniliu sijui nini[emoji1787], yani nipate beautifully salary ya hivi thn nilalamike..Si nitakuwa mwendawazimu.

we jamaa unachekesha watu aisee, hio basic yako take home itacheza kwenye 1.2M sasa kwa maelezo yako uko town hio ni pesa mbuzi tu...anza kazi kwanza uone uhalisia uache hio wenge.
 
Back
Top Bottom