Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

IFM Kuna brela,chuo Cha utalii, chuo Cha Utumishi wa umma, wizara ya nishati na madini, Tanroads HQ,hazina vyote viko karibu,
Ndio nimekuuliza mtu kama wewe halmashauri unaweza kwenda ukakaa ukala hapo chakula cha elfu 4 na hushibi??? Maana nyie vyakula vyenu either pass ndefu au kuna vile vibanda umiza 🀣
 
Hahaaaa[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] ,jobless WA nchi hii mna jeuri sana
Yaani asali ya halmashauri mnaniita asali ya nzi
Aisee [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Siku inzi akiacha ujinga mbona atatengeneza asali nzur tuu
 
1,600,000/-
Take home ni sh ngap mkuu?
 
Ndio nimekuuliza mtu kama wewe halmashauri unaweza kwenda ukakaa ukala hapo chakula cha elfu 4 na hushibi??? Maana nyie vyakula vyenu either pass ndefu au kuna vile vibanda umiza 🀣
Mimi sio kama ww, Mimi ni CPA, nafanya kazi zangu za pembeni za kihasibu nyingi sana, Mimi pia ni Tax Consultant nimesajiliwa na TRA,
Kwa mwezi sikosi 1,800,000/- za kufanya tax consultant na Auditing,and advisory usidhani nategemea salary, kama hujui moja ya faida ya kufanya kazi halmashauri ni kuwa unakuwa sio bize Sana
 
Sawa mkuu.
 
Achana na hiyo kaz mkuu njoo tupige mishe mishe
 

we jamaa unachekesha watu aisee, hio basic yako take home itacheza kwenye 1.2M sasa kwa maelezo yako uko town hio ni pesa mbuzi tu...anza kazi kwanza uone uhalisia uache hio wenge.
 
Ndio nimekuuliza mtu kama wewe halmashauri unaweza kwenda ukakaa ukala hapo chakula cha elfu 4 na hushibi??? Maana nyie vyakula vyenu either pass ndefu au kuna vile vibanda umiza 🀣
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Tetetete hebu utumishi mbadilishieni kituo huyu kijana mpelekeni halmashauri 🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…