Utumishi wako fair
JF-Expert Member
- Nov 12, 2021
- 429
- 1,340
Sijapata ajira Mkeka wa Tarehe 20 hujauona au?? Alafu nidangaje kisa nini?? Yani napata faida gani Bob.Utumishi wako fair hujapata ajira acha kuharibu uzi
Assistant Lecturer ulikosa?-
- kwenye nchi hii wenye mishahara mikubwa sio wabunge tu mbunge analipwa 16m, mkuu Kuna Majaji, CEO wa mashirika makubwa, CEO wa mabenki na wafanyakazi waliofikia managerial cadre,makamishna wa TRA
- kama take home haifiki 5m ww si uache kazi ukawe kama diamond
- ofisa wa ngazi gani wa Tanroads anayelingana na mabosi wangu wa halmashauri? Mkurugenzi wa halmashauri huyo yupo level ya managerial cadre huyo alitakiwa alinganishwe na Meneja wa Tanroads mkoa na sio entry level wa Tanroads
Niko halmashauri nachapa kaziAssistant Lecturer ulikosa?
Kama tayari upo kazini soma kozi hizi utanishukuru baadaeNilipata div 2 ya 11 nikapata kairuki ada ikazingua si unaelewa? Nikachaguliwa computer and software engineering kwa kukosa washauri nikapiga chini nikaenda kwenye ualimu, Sasa napiga hesabu hapa nisome course nyingine au nichukue masters tu, changamoto hata ya masters kwenye halmashauri ni upuuzi tu.
Land management and valuation, hiyo ndio the Best na maafisa ardhi wengi wamesomea hiyo.Kama tayari upo kazini soma kozi hizi utanishukuru baadae
1. Account
2. Procurement
3. Public health
4. Wathamini- kozi yao sijui inaitwaje
Hizo tatu za kwanza hata ukibaki halmashauri hufi njaa.
Bato linaendelea😂😂Humu ndani tunakinzana mawazo kwa sababu ya mitazamo...
Wakati Mimi wakati naanza hustling za kufanya interview ,target yangu ilikuwa ni kutafuta kianzio ili niweze kuwa na kipato cha uhakika kwa mwezi kiniwezeshe kufanya biashara zangu... Ambacho mtaji ni huo mshahara.
Ila wengi mawazo yenu yalikuwa mpate sehemu yenye mishahara minono na mazaga zaga.... ( So hapo lazima tutofautiane mitazamo).
--------------------------
So regardless kazi ningepata wapi nilikuwa nimejiandaa kwa hilo, .
Huko vijijini mnapowaongopea watu sijui halmashauri maisha magumu... Maisha sio magumu ila akili zenu ndio ngumu...
madon wote wa huko ni Almost darasa la saba ,yani shule ndogo hata kama sio darasa la saba.... Ila hao hao darasa la saba wanamtoa BRANCH MANAGER WA BANK OFFCN WANAKUJA KUMTEMBELEA .🤣
kama unabisha uliza huko madon wakina nani ,alafu ukae utege uone watu wa Bank wanaenda kum visit ... Na sio kama lakopa
...la hasha wanaenda kujenga nae mahusiano tu mazuri kwa sababu ya hela zake.
maisha ni kuchagua, leo hii kuna watu wanajazana ujinga eti ooh hadi Million 2 take home bado hela ndogo ,sababu mshahara ukiwa mkubwa na matumizi yanakuwa makubwa ....Ni kwa ujinga wako.
Brother kama halmashauri pagumu, acha hiyo kazi, Msomi wa degree umekaa unashindwa kujiongeza wakati una security job.
Mkuu wangu ,Kuna mtu humu ana CPA lakini ajabu yupo halmashauri huko, ya Waging'ombe na anaiponda 🤣🤣..wakati wenzie wapo sijui NBAA sijui Board ya wahasibu sijui board gani... Sasa wewe mtu huyo unamuona yupo sawa kiakili.Bato linaendelea😂😂
Wanalipa kwenye Halmashauri zote mkuu inategemea tu wewe ni mtu wa Kada gani
Ni kweli entry level bachelor's wengi halmashauri wanaanzia TGS D na TGS E, ila wengine tumeanza na TGS E kwenye 1.3M
Naongelea Veterinary medicine
Mkuu itabidi jobless Mimi nikae n wewe vizuri tupeane hzo fursaBoss sio kwa mshahara ,ila pale nje kuna fursa za biashara sana tena sanaaa. Yani nikishindwa nitajilaumu sana...... Yani kwa mazingira yale umekosa sana 30 kwa siku.. yani kwa mwezi tuseme ukoseeee faida haipungui laki 5. Yani inshort nitakuwa na uwezo wa kula, kuvaa na ku pay bills bila kutegemea mshahara... Na bado nikaweka akiba ya 1M per month...cz take home yangu ni beautifully ,na.
Pia niwashukuru Board ya mikopo kwa kuninyima mkopo....nakumbuka nilishawahi enda hadi office zao na bado wakaninyima [emoji1787][emoji1787], now naishi ki boss...... Yani ile laki ya kuniramba kwa mwezi wamepita kushoto [emoji1787]
Karibu boss Njoo nikupe madini na fursa za biashara.....Mkuu itabidi jobless Mimi nikae n wewe vizuri tupeane hzo fursa
-inaonekana una uelewa mdogo Sana, japo unasema una 4.1gpaMkuu wangu ,Kuna mtu humu ana CPA lakini ajabu yupo halmashauri huko, ya Waging'ombe na anaiponda 🤣🤣..wakati wenzie wapo sijui NBAA sijui Board ya wahasibu sijui board gani... Sasa wewe mtu huyo unamuona yupo sawa kiakili.
Mambo ya Masikini haya 🤣🤣, hata mimi wakati sijajipata nilikuwa kama wewe.... Nahasira na waliojipata bila sababu... So relax wakati wako utafika, hata kama upo halmashauri unaweza toboa legeza Bichwa hilo sheikh..maisha sio magumu ,wewe ndio mgumu.Watu wa Hospitali Mirembe wawahi upesi kuna mgonjwa anahitaji kufunguliwa folder. [emoji28][emoji28][emoji28]
CPA ya kuunga hiyo, twende nikuonyeshe CPA wenzako walivyo, SIPIEI gani Unashinda JAMII FORUM NA JOBLESS KWENYE JUKWAA LA AJIRA (UTUMISHI WANACHELEWESHA PLACEMENT).. 🤣🤣-inaonekana una uelewa mdogo Sana, japo unasema una 4.1gpa
-nbaa ndio bodi ya uhasibu na kila mwenye CPA Tanzania hii amepewa hiyo CPA na hiyo bodi, hivyo hiyo kauli ya kusema "wakati wenzie wapo sijui NBAA" ni kauli ya hovyo na ya kijinga
- CPA usilinganishe na hiyo Kozi Yako ya computer,
- Mimi nishkwambia sio Level yako mimi ni Tax Consultant, Advisor,Auditor, Supervisor sitegemei salary, nasajili makampuni, nk Kama Ww kwa sababu nafanya kazi zangu binafsi na za serikali hata kabla ya Kuajiriwa, sio Kama wewe umepata kazi ndio unawaza kuoa tafsiri yake hukuwa na uwezo hata wa kupata Milioni 1 kabla ya ajira.
Kwa hiyo umeona wivu kwa sababu natengeneza kipato Cha pembeni kabla na baada ya ajira?CPA ya kuunga hiyo, twende nikuonyeshe CPA wenzako walivyo, SIPIEI gani Unashinda JAMII FORUM NA JOBLESS KWENYE JUKWAA LA AJIRA (UTUMISHI WANACHELEWESHA PLACEMENT).. 🤣🤣
Sasa kama mtu mpaka una CPA bado unalalamika halmashauri hali ngumu .... Si uache kazi 🤣, uone mtaani kuna rangi gani, yani ukifanya kazi zako kwa mwezi una 1.8M hukosi... Huoni ukiacha utakuwa na muda zaidi hiyo 1.8 M unaeza pata hata 3 M permonth??
Mnawajaza watu ujinga,eti oohh halmashauri sijui naacha , Achaaaaa ,susaaaaa .... Watu wapo kibao wa kuja kufanya kazi huko, susa alafu uone kama utapata tena kazi...na SIPIEI yako ya Open university hiyo.
Mimi nipate 1.8 M... thn niendelee kutumia muda wangu halmashauri... Unalipwa sijui laki 5 sijui 6Kwa hiyo umeona wivu kwa sababu natengeneza kipato Cha pembeni kabla na baada ya ajira?
Halafu kuonesha jinsi ulivyo mbumbumbu unasema CPA ya Open university, Chuo Cha OPEN hawatoi CPA, wanaotoa CPA ni NBAA, tumia Google vizuri, halafu unasema wewe ni mtaalam wa IT hovyo kabisa
Ilitoka lini hii taarifa?Msajili wa hazina amepiga stop kuhamia, kwa sasa ajira za mashirika ya umma zitatangazwa kwa ushindani i.e
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Watu wa Hospitali Mirembe wawahi upesi kuna mgonjwa anahitaji kufunguliwa folder. [emoji28][emoji28][emoji28]