Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Bro, humu kuna akili kubwa, sema watu mnachukulia poa uzi, sasa unajaribu kumpumbaza nani?! You are the same guy, unajisema?! Umeona utengeneze account nyingine baada ya kujulikana wewe ni 'utumishi wako fair' yote haya unafanya kwa ajili ya nini?!
Nilifikiri hvyo pia ila nadhani Ni watu wawili tofauti
 
haya maswali nimejiuliza sana sijapata majibu maana hizo pdf nazifatilia sana maana hata mimi nasubiria hizo placement. Ict security tulifanya nao oral tareh 15 mwezi wa 11 na walikuwa wa 4 na bado hawajaitwa kazini wote.
Umeona ehee kaka anatuchulia poa watu ICT me namwonaga tu kitambo
 
hiyo ni tofauti security ni ulinzi wa mifumo ya tehama hiyo ya kwenye pdf ni network management Ict officer
safi umechambua vzr kaka nimeitafuta hiyo security siioni unless labda kama yeye ni programmer wale wawili ila ye kakazana security
 
haya maswali nimejiuliza sana sijapata majibu maana hizo pdf nazifatilia sana maana hata mimi nasubiria hizo placement. Ict security tulifanya nao oral tareh 15 mwezi wa 11 na walikuwa wa 4 na bado hawajaitwa kazini wote.
Wadau mbona nimeshawaambia huyu jamaa hajapata kazi, mniamini asiwasumbue
 
Posho zipo ..sjajua ww unaingia kama instructor or technical staff
Mfano instructor (from tutorial assistant up to senior lecture) kila mwaka wanatoka nje kuwasupurvise wanafunzi field..kila staff anachukua almost 1.8m+...Kuna za kuusimamia paper..kumark..kusimamia final year..senior lecture wanapewa pia na housing allowance.....kwa technical hawa wa puss(kuna posho za kuandaa lab)....mitihan pia sometimes wanasimamia....posho za sikukuu..posho za research kama ulikuwa engaged kama technical kweny hyo research..kusafiri utasafiri sana kama unajua vitu au upo karibu na ma prof wenye project kubwa kubwa..hii nmesema nna ushahidi nayo
 
Technical staff mkuu, Lab Technician
Zipo ..sababu ukiandaa lab ..sometimes mnafanya hadi night so mnajaziwa extra duty..sometimes mnakuja hadi jumamosi so allowance mnapata..labda boss au na sababu zake....ndo maana mwaka Jana staff wengi sana wameamia kuja vyuo vikuu kutoka halmashauri.
 
Back
Top Bottom