Green Beret
JF-Expert Member
- Apr 22, 2022
- 631
- 991
Ka
Kazi nyingine inachukua hata miezi 6 asee.
Tuite chepe chepe na sio kijiko kikibwa jamani. Duh!
.michakato ipi mkuu? Maana kama wametangaza hizo kazi toka mwezi wa 5 mpaka leo michakato ni ipi? Mi nadhani wangekua wanatoa mda maalumu kuwa toka kazi itangazwe hadi mtu kupangiwa iwe miezi kadhaa watu wajue. Maana kazi zingine kama za Bunge ilikua chap chap vivo hivyo na vyuo tofauti na hizi taasisi zingine.Mi sidhani kama venue ni tatizo wao t wana michakato mingi
Kazi nyingine inachukua hata miezi 6 asee.
Tuite chepe chepe na sio kijiko kikibwa jamani. Duh!