Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

All the best Hustler.
 
kuna taasisi X jana walitumiwa mikataba kwenye email wascan wasign den watume tena kwenye email ya HR.So mikataba walisignia vyumbani,Nawajua baadhi coz tulifanya nao interview walipata kwenye hiyo taasisi,Baadhi ni watt wa wakulima tu.
Hiyo haina interview mkuu...pale kafanyiwa mpango
 
Leo katika historia (9Th January) ni siku ambayo IT alimwaga moto pale penye section ya chini ya vimulimuli, moto ukiwa umepamba majina mengi likiwemo langu, ni siku muhimu ya kuikumbuka.

Wito: Usikate tamaa, usiache kwenda kujaribu hadi kieleweke.

Hongera kwa kutimiza mwaka asalini. Nina imani una barış ta ajira na ya kuthibitishwa kazini. Sasa tupambane tuingie DCEA.
 
Akili kubwa sana hii!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…