Kabisaapepa za hivyo ndio huwa nzuri sasa sio mtihani majibu yote yapo wazi.utatoboa tu..
Hongera sana Kiongozi...Ukawe Mtumishi mwema kazini...Mungu nimkubwa sana, namshukuru kwa hiki alichonitendea hatimae na mimi nimelamba asali.
Mbona kuna mikeka kama miwili wametoa kutoka Database wamepelekwa Wizara ya ardhi tena wengi tuKuna wakati huwa nawaza labda kada za Ardhi huwa hazina Database.
Direct placement ikishatoka ndio basi tena, kinachobaki ni kusubiri tangazi lingine la ajira na siyo kutumainia database.
Ila kweli acha tuwe wapole tu..Kabisa, na uzoefu unaonesha wanaochomokea database ndo huwekwa kwenye jungu kuu la asali
Hawa jamaa aptitude test yao dk 20 duu...Kama kuna mtu Aliapply zile nafasi za Nmb basi afungue email yake, kwa wale wenye android waende kwenye neno "SPAM" wataona meseji ya advert kwa ajili ya aptitude test na pia wenye iphone waende sehemu iliyoandikwa "JUNK" pia wataona iyo meseji kwa ajili ya aptitude test. Test ni siku ya Jumanne ila mda upo tofauti tofauti.
Nikukomaa watu wanatoboa mkuuHawa jamaa aptitude test yao dk 20 duu...
Naona status ishachange ukoRelaax Afisa Habari Daraja la 2 [emoji3][emoji3][emoji3] sema two way traffic itawanyoosha wengi sana
🤣 🤣 inasemajeNaona status ishachange uko
Nikukomaa watu wanatoboa mkuu
Selected for oral interview[emoji1787] [emoji1787] inasemaje
Hakuna majina sjui bado[emoji1787] [emoji1787] inasemaje
Tayari kule, vimulimuli vya matokeo vishawaka[emoji23][emoji23],hivi matokeo ya written yanatokag sa ngap? Maana jana Co kwa paper lile khaaaa,ilihitaj critical thinking uku unajifkir unasikia zmebak 20 minutes
Kabisa @MwifaData base mara nyingine inasuprise sana aisee, unakuta ulifanyia oral taasisi ya kawaida ila unakuja kuangukia kwenye litaasisi likubwa na linono[emoji119][emoji119]
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ,hamna tofauti sana na Sisi Electrical engineersWanaita ila ukiona tangazo leo, subiri kuanzia miaka 3+ mbele kuona lingine. Sio surveyors, land officer, valuer au carto.
Tuendelee kujitafuta kwenye kampuni za watu na kuzulumu wananchi. UNASTAAFU UNAJITOLEA.
Ni shidaaa,naomben tips for oral interview kuna yale general questions like,tell us about your educational background?let say ili ndo swali unalijibu vp unaanza kuelezea level ip ya elimu uliyofka?Tayari kule, vimulimuli vya matokeo vishawaka
Tips kidogo...Ni shidaaa,naomben tips for oral interview kuna yale general questions like,tell us about your educational background?let say ili ndo swali unalijibu vp unaanza kuelezea level ip ya elimu uliyofka?
Ndio hivyo mkuu, Jana watu wameangukia MSD kimasikhara sanadahh kumbe unaweza kua unalalamika hujioni kwenye pdf kumbe mungu kakupangia makubwa kuliko unavyofikilia wewe.
dahh mungu asaidie aiseeNdio hivyo mkuu, Jana watu wameangukia MSD kimasikhara sana
Hongera sana mkuu, ukawe mtumishi mwema,Mungu nimkubwa sana, namshukuru kwa hiki alichonitendea hatimae na mimi nimelamba asali.