Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Habari wakuu,

naomba kuuliza, hivi utumishi unaweza ukaomba kazi kwny ajira portal na kabla ya deadline kupita ukaruhusiwa kufanya mabadiliko upande wa viambatanisho kama vyeti wakati ulishtuma tayari?

Naombe mnisaidie jibu wakuu.
 
Habari wakuu,

naomba kuuliza, hivi utumishi unaweza ukaomba kazi kwny ajira portal na kabla ya deadline kupita ukaruhusiwa kufanya mabadiliko upande wa viambatanisho kama vyeti wakati ulishtuma tayari?

Naombe mnisaidie jibu wakuu.
mabadiliko unaweza kufanya vizuri tuu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…