Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kuna kuitwa na kunakuwemo katika waitwa [emoji28][emoji28][emoji28]kwahyo hapa tunachoomba ni kuitwa sio pdf kutoka pdf kama inatoka leo na haumo afu , pdf itoke December na umo kipi bora[emoji2095][emoji28]
pdf lenyewe siku hizi limekua hanasa
 
utumishi kama mmeshindwa kutoa matokeo ya watahiniwa wenu tafathali msitoe matangazo ya ajira wala kuita watu interview.mnapotezea watu muda na pesa zao pia kama mmeamua kutotoa matokeo tulieni hivyo hivyo.
Wasijitingishe kabisa au sio😄😄😄
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…