Majina mengine ayo
Habari mm nimefanya interview TaESA je inachukua mda gani kuitwa kwaaji ya intern? Maana interview nimepata grade ya 71.1%.Mkuu vipi kwenye app ilikuwa inasomaje?
Habari ndugu Wana forum, nimefanya interview TaESA na nimepata grade ya 71%, je inachukua mda gani kuitwa for intern?
Watakupigia cm ondoa shaka mkuuHabari ndugu Wana forum, nimefanya interview TaESA na nimepata grade ya 71%, je inachukua mda gani kuitwa for intern?
Ulikuwa Kanda gani mkuu maana wengine bado hawaja upload matokeoHabari mm nimefanya interview TaESA je inachukua mda gani kuitwa kwaaji ya intern? Maana interview nimepata grade ya 71.1%.
Jamaa wako fasta. Kuna Dogo kapiga interview juzi tu hata siku haijaisha wakamwekea matokeo yakeUlikuwa Kanda gani mkuu maana wengine bado hawaja upload matokeo
Mi nilikuwepo Dom naona matokeo bado hawajawekaJamaa wako fasta. Kuna Dogo kapiga interview juzi tu hata siku haijaisha wakamwekea matokeo yake
Yeye alipigia kupitia sim BossMi nilikuwepo Dom naona matokeo bado hawajaweka
muda si mrefu nyie wa muhimbili mnaitwa..
pdf lenyewe siku hizi limekua hanasaKuna kuitwa na kunakuwemo katika waitwa [emoji28][emoji28][emoji28]kwahyo hapa tunachoomba ni kuitwa sio pdf kutoka pdf kama inatoka leo na haumo afu , pdf itoke December na umo kipi bora[emoji2095][emoji28]
kama ulikuwepo wameshatoa tangazo kuleutumishi kama mmeshindwa kutoa matokeo ya watahiniwa wenu tafathali msitoe matangazo ya ajira wala kuita watu interview.mnapotezea watu muda na pesa zao.
pdf lenyewe siku hizi limekua hanasa
🤣🤣umejipata wapi 🤣 🤣
Wasijitingishe kabisa au sio😄😄😄utumishi kama mmeshindwa kutoa matokeo ya watahiniwa wenu tafathali msitoe matangazo ya ajira wala kuita watu interview.mnapotezea watu muda na pesa zao pia kama mmeamua kutotoa matokeo tulieni hivyo hivyo.