Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kaimu Katibu wa Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Bw. Innocent Bomani amewaongoza watumishi wa taasisi hiyo, ndugu, jamaa, marafiki na watu mbalimbali kutoa heshima zao za mwisho na kumpumzisha aliyekuwa mtumishi wake Bi. Janeth Saki ambaye alifariki tarehe 4 Februari 2024, mazishi yamefanyika tarehe 7 Februari 2024 jijini Dar es Salaam.

Bwana alitoa na Bwana ametwaa Jina la Bwana lihimidiwe.
 
Hivi hawa Tanroads haya matangazo yao ya kazi huwa wanaita watu kweli , maana mm huwa natumaga maombi ila sijawahitwa interview hata moja. Nakumbuka ya mwisho kutuma ilikuwa mwaka jana Tanroad Mwanza ila hadi leo kimya . Na zilikuwa za mkataba ya mwaka.
Au hii Taasisi pia ndio wale wale kuitana kwa undugu kwenye kazi yao.
 

Kuna namna inabidi uiweke CV (Projects related) yako ili kupata walau chance ya kuitwa

Ila mara nyingi wanaita watu wao (connection)
 
Kuna namna inabidi uiweke CV (Projects related) yako ili kupata walau chance ya kuitwa

Ila mara nyingi wanaita watu wao (connection)
Nmekuwa nikifanya hivyo ku update cv kutokana na Mahitaji yao ya kazi katika matangazo yao lkn wap.
Vp ww umewahi kuitwa kweli ,
Hili swala la connection hata mimi nimeanza kulihisi aisee
 
si ndio hata mimi nashangaa yaani utumishi hata ubwabwa kutupikia wanashindwa jaman.yaani pale wengine wanafeli kwasababu ya njaa.. [emoji1787] [emoji1787]
Wao wenyewe Usikute Posho ya siku haitoshi ndo maana wanafanya makusudi kutucheleweshea Placement.....
 
Nmekuwa nikifanya hivyo ku update cv kutokana na Mahitaji yao ya kazi katika matangazo yao lkn wap.
Vp ww umewahi kuitwa kweli ,
Hili swala la connection hata mimi nimeanza kulihisi aisee
Vyeti vyako vimegongwa mhuri wa Mwanasheria?
 
Pale asha rose migiro, mkiwa wengi kada tofauti mnapelekeshwa kama watoto na kufokewa juu na walinzi wao. Mnapigwa jua na baridi la dom kabla ya kuingia kukandwa unawaza umaskini wako na familia yako unaona tu hamna namna nikuikubali tu system.
Lile Baridi pale sio pouwa aixee na Mazingira sio rafik sehemu za kukaa hamna jamaa wanaita huku mara kule ila ipo siku tutaboa.
 
Kweli mkuu utaratibu pale sio mzuri aixee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…