Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

kuna kada nyigi tu bado hawajatoa pdf.watu wamefanya interview muda mrefu halafu interview ni nyingi chaajabu wanatoa matokeo wanavyojiskia si ujinga uo
Mmmh sjui wanakwama wapi,ili la mdas/lgas tulilofanya tar 15/1 mbn walisema after 3 weeks majibu yatatoka kumbe tunawez subir meli Airport ,na asubuh mtumishi mmoja kabla ya interview akasema ss ivi mambo yatakua mazuri hawarembi watakua hawachelew kutoa majibu as long as washapta kibali,ss ivi viporo vinaachwaje.
 
Wakuu hivi mtu tunaweza kuajiriwa halmashauri/tamisemi akaenda kufanya interview na akapata kazi je tqratibu zipi atafanya ili aweze kuhamia kwenye taqsisi mpya ilhali ana check number?
Inawezekana, chakwanza unapoandika barua ya kuomba kazi kama ni mwajiriwa wa serikali, lazima barua yako ipitie kwa Mwajiri wako
 
Inawezekana, chakwanza unapoandika barua ya kuomba kazi kama ni mwajiriwa wa serikali, lazima barua yako ipitie kwa Mwajiri wako
Another scnerio uliomba ajira za afya ukapata kazi tamisemi imepita miezi database wanakuita taasisi ndo nauliza hapo unafanyaje fanyaje ilhali una check number?
 
Utumish.."Utumishi..."Utumishi...[emoji24]
Vijana wenu tunapita wakati mgumu kitaa toeni matumain mioyoni wa Vijana.....
Japo hatuwapangii cha kufanya"""""".....
Kauli ya Mama anaupiga mwingi kwenye news zenu tunataka vitendo vionekani kwa vijana wenu.....
 
Back
Top Bottom