Kuna mpuuz mmoja eti anasema Nia ibu kwenda kushindana na vitoto vya miaka 25-27 eti kisa una miaka 38+++
Huyu jamaa Ni mjinga sna
Mim Niko shirika la binafsi liko fresh tu ila Kuna wakt mwingine natamani kufanya Kaz seerekali Tena kwenye taasiis nyeti
Mfano tra,latra ,brela ,ewura na tpcl Sasa hapo Nani hataki kufaya Kaz kweny hayo mashirika Ni mjinga tu atacah kuapply eti kisa umri
Mm nilivyoona tra na latra au brela siwezi kuwachiaa lzm namm nikale good time huko
Huwa Nina aminj ipo siku nitaingia ktk utumishi wa umma kwenye taasi kubwa not halmashuri