Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

HABARI ZA HIVI PUNDE:

Hatimaye kipofu kaona Mwezi, hii ni sherehe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Selected for Oral Interview.

Kumbe kunakuwaga na raha hivi, halafu hamsemi...

wizy niazime suti yako nikawande tena kwenye hatua ya mwisho.

Prok usisahau kuja na mwavuli ili suti ya wizy isije ikapauka na joto bure[emoji3][emoji3][emoji3]
Jaman I was so frustrated kama nakujua vile maana always unakujaga hapa ooh nmekandwa, jana ndo nmeumia mno. Hamna raha pia unaisikia kama a person u have been with in a journey akifanikiwa pia. Congratulations. Am so happy. This is a step. We pray for the next one.
 
HABARI ZA HIVI PUNDE:

Hatimaye kipofu kaona Mwezi, hii ni sherehe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Selected for Oral Interview.

Kumbe kunakuwaga na raha hivi, halafu hamsemi...

wizy niazime suti yako nikawande tena kwenye hatua ya mwisho.

Prok usisahau kuja na mwavuli ili suti ya wizy isije ikapauka na joto bure[emoji3][emoji3][emoji3]
Hongera sana kaka kwa hatua hii kubwa na muhimu,Jiandae kuwa mtulivu wa akili na mwili na Muombe sana Mungu naimani na wewe Kaka be blessed cake ya taifa ni kubwa sana tukaichukue.
 
HABARI ZA HIVI PUNDE:

Hatimaye kipofu kaona Mwezi, hii ni sherehe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Selected for Oral Interview.

Kumbe kunakuwaga na raha hivi, halafu hamsemi...

wizy niazime suti yako nikawande tena kwenye hatua ya mwisho.

Prok usisahau kuja na mwavuli ili suti ya wizy isije ikapauka na joto bure[emoji3][emoji3][emoji3]
Kila laheri ndugu...
 
Jaman I was so frustrated kama nakujua vile maana always unakujaga hapa ooh nmekandwa, jana ndo nmeumia mno. Hamna raha pia unaisikia kama a person u have been with in a journey akifanikiwa pia. Congratulations. Am so happy. This is a step. We pray for the next one.
Tuombeane tu aseeh huwa inaumiza sana ukiona mtu anapata shida wakati mwingine unasema ningekuwa na uwezo ningefanya hivi
Lakini tuombeane pia tufarijiane
 
Hongera Mliovuka Hiyo Hatua na Sasa Mnaenda Kujiuza Kwenye Oral.
Sahauni Hayo Matokeo Na Mhamishe Jitihada Zote Kwenye Oral.
Inabidi Tufanye Kesi ndogo ndani ya kesi Ya msingi.
Immediately Mpate Hints za Kupangana Na Oral Kwnye Uzi huu..
 
Back
Top Bottom