Pale JKT umeenda kujifunza sio ajira direct...Huu ni ujinga sasa, kuna haja gani ya vijana wanaokwenda jkt kujitolea halaf ajira zikitoka wanashindanishwa na wasioenda
😆 😆 unyanyasaji wa kimtandaoaisee nipo live tokea saa 12 asubuhi kila baada ya sekunde tano naingia web.ukisikia unyanyasaji wa kimtandao ndio huu sasa.😆
Na bundle unalo[emoji23]..bora kungekua na official date aiseee,subra ya kusubir majibu ya psrs ni ngumu ambayo ujui n lin yatatoka,unajitaid kujikeep busy but unashangaa wazo linakuja tuaisee nipo live tokea saa 12 asubuhi kila baada ya sekunde tano naingia web.ukisikia unyanyasaji wa kimtandao ndio huu sasa..
[emoji23][emoji23]daaahUkitaka ugonjwa wa afya ya akili wape dhamana hawa wapuuzi wa utumishi
Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
sasa hivi kelele zimeisha🤣🤣Post za nyuma kulikua na ronja na ramli saivi mbn watu hamtupi ronja izo,na nyingine zilikua za kwel saiv hakuna wa2 mnakwama wap[emoji2]
siku nyingine hadi nakopa bando yaani siku nikienda kuchukua barua ya asali naenda na meseji za tigo wanirudishie hela yangu..Na bundle unalo[emoji23]..bora kungekua na official date aiseee,subra ya kusubir majibu ya psrs ni ngumu ambayo ujui n lin yatatoka,unajitaid kujikeep busy but unashangaa wazo linakuja tu
🤣🤣🤣🤣Hapo usikute kuna mtoto wa kigogo kalalamika kwa daddy yake kuwa hicho kigezo kinamkwaza🤣🤣
Ndo wanachoweza PSRS hicho....
Hizo nafasi za kwenda JKT mnapeana sana.Huu ni ujinga sasa, kuna haja gani ya vijana wanaokwenda jkt kujitolea halaf ajira zikitoka wanashindanishwa na wasioenda
😂 Pole sana mkuu, naona una maumivu makuuHuu ni ujinga sasa, kuna haja gani ya vijana wanaokwenda jkt kujitolea halaf ajira zikitoka wanashindanishwa na wasioenda
Kwan wanawekaga mpaka weekend?HATIMAYE VIMULIMULI VIMEZIMA .
TUTARAJIE LOLOTE KUANZIA SASA
wataviwasha muda si mrefu hao.. 🤣 🤣HATIMAYE VIMULIMULI VIMEZIMA .
TUTARAJIE LOLOTE KUANZIA SASA
wanatoaga mara mojamojaKwan wanawekaga mpaka weekend?
Mkuu huna haja ya kukopa bando ili kufatilia habari za placement kama umepata au bado zamu yako haijafikasiku nyingine hadi nakopa bando yaani siku nikienda kuchukua barua ya asali naenda na meseji za tigo wanirudishie hela yangu..
unalolisema ni kweli kabisa ila ukiaa ukatulia kuna karoho kanakuambia hebu chungulia unaweza kua umelamba asali.yaani kukashinda hako karoho inahitaji maombi mazito..Mkuu huna haja ya kukopa bando ili kufatilia habari za placement kama umepata au bado zamu yako haijafika
Ukipata kazi trust me mtu wa Kwanza kujua sio wewe ni watu wengine kabisaa, itakuwa ni either Hater ambae alikuwa anakudundia usipate au mtu aliekuwa anatamani upate
Kwahiyo utapigiwa simu ata sa 7 za usiku kupewa hizo taarifa, ila kusema eti hadi unakopa ili tu ufatilie habari za placement sidhani kama ni matumizi mazuri ya mkopo wa bando
We chili tu kwa sababu ukikosa utajua na ata ukipata utajua, haijarishi una bando au hauna, though najua kuwa unajoke unaposema kuwa unakopa bando ili kufatilia habari za placement
Ni kweli unachosema ila ni maamuzi Tu mkuu na mindset yako, kwa sababu usipoamua kupotezea na kumove on itakupa tabu sana ata kwenye kufanya maamuzi mengine ya kutafuta Ridhki kwa kuhisi Asali itaingilia katiunalolisema ni kweli kabisa ila ukiaa ukatulia kuna karoho kanakuambia hebu chungulia unaweza kua umelamba asali.yaani kukashinda hako karoho inahitaji maombi mazito..