Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Namshukuru Mungu wa mbinguni, baada ya miaka Saba bila ajira, hatimae na mm leo nimelamba asali!!! Asante Mungu, Ahsante Wana jamii forum. Tusikate tamaa kabisa.
Hongera Sana mkuu ukawe mtumishi mwema na mwadilifu ukachape kazi mkuu. Hakika Mungu NI mwema.
 
Mkuu cha msingi USIKATE TAMAA, kukata tamaa ni sumu najua inauma sana.

Amini siku yako inakuja.
 
hii ni mara ya mwisho sasa nisipoona jina naenda kukata tiketi naenda kuchukua barua hata ya afisa mifugo naanza kazi haiwezekani mikeka Terabyte mbili nisione jina...

Inshu nyepesi tu piga kama Utumishi wako fair jipe kazi jipangie mshahara na mazingira ya kazi yaweke poa then anza kujiwish humu JF then potea uanze majukumu yako[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…