Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Jamii forum sijui wamekuja kuwaje, kuna baadhi ya nyuzi ukifungua kupitia app yao inagona inasema sever error, ina taka kuingia kwa browser. Huu ni uzi mmojawapo yupo anaepata changamoto kama hii??
Yaaan kumbe na ww unakutwa na changamoto ya hivi.
Nilidhan labda kuna namna nmekorokocha simu ndo ikaniletea hivi.
Kwanza hata pics huwa haziwezi kufunguliwa kwa app had kwenye browser. Sasa naona hata uzi wanasema tumia browser🥲
 
🤣 🤣 yaani mpaka muda huu mimi ningekua theophili ningekua tayari kwenye kimbinyiko la usiku lile karibu na dereva pale uelekeo Dom town..
Hahahahah,mhandisi mwenzangu ulifanya oral ipi wewe ukute ndo tunaisubiria wote hapa hahahahha
 
Hawa Psrs si watoe tangazo lingine asee[emoji2955] maana saili iliyoisha nilikandwaaa si kwa maswali yaleee[emoji856]
Si kuna ajira alizosem wazir Simbachawene zitamwagwa almost elfu 44 kunzia mwezi huu mpk wa 7..so tusubir mambo ayo tuone,maana baada ya mwaka 2025 naona ngma itakua ngumu,watu washaingia madarakani apo 2026[emoji50]‍[emoji100]
 
Si kuna ajira alizosem wazir Simbachawene zitamwagwa almost elfu 44 kunzia mwezi huu mpk wa 7..so tusubir mambo ayo tuone,maana baada ya mwaka 2025 naona ngma itakua ngumu,watu washaingia madarakani apo 2026[emoji50]‍[emoji100]
Watoe mamlaka ya Taasisi kuajiri yenyewe irudi kama ilivyokuwa Utumishi...
Kuna Taasisi mpaka sasa wanaona Ugumu Utumishi kutoa watu Database...
 
Si kuna ajira alizosem wazir Simbachawene zitamwagwa almost elfu 44 kunzia mwezi huu mpk wa 7..so tusubir mambo ayo tuone,maana baada ya mwaka 2025 naona ngma itakua ngumu,watu washaingia madarakani apo 2026[emoji50]‍[emoji100]
Yaani ni kupambana sana, kwa huu mwaka bila hivo itakua majanga huko mbele
 
mie nilifanyaga ya mwezi wa sita ile nyingine ndio naitegemea nyingine ilikua ya kinondoni ila ile nilijibu pumba nakiri kabisa nilikandwa live bila chenga[emoji1787][emoji1787].vp wewe mwenzangu ulifanya ipi..???
Nyingine ipi ?
Mbona ile ya Renewable energy ya mtu mmoja washaita mtu wao ?
Kuna interview ya electrical nyingine kweli tofauti na ile ya mwezi wa sita mwaka jana ukiacha ile ya Renewable iliyofanyika mwezi wa nane mwaka jana ?

Maana zile nafasi nyingine nilipokuwa naziona ni za vyuo , kama DIT , UDSM,Nelson Mandela University nk Kwa nafasi ya tutorial assistants (Electrical Engineers ) na nadhani washaita watu tayari
Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
 
Halafu psrs kuna tabia mbovu ya kureject applications za wahandisi kwa kutoa sababu ya kwamba cheti cha Registration cha ERB cha graduates Engineer kimeisha muda wake ,na wakati ERB hicho cheti huwa hakiwi renewed
Upumbavu Sana ,
Mi Ile interview ya Renewable Energy sikuhudhuria kwa sababu hii hii
Kiufupi nimefanya interview moja tu ya utumishi ,ile ya mwezi wa sita mwaka jana
Na hata hiyo interview ya mwezi wa sita kuna Electrical engineers wengi nimesoma nao majina yao yalikatwa kwa sababu hii ya kipuuzi


Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
 
Halafu psrs kuna tabia mbovu ya kureject applications za wahandisi kwa kutoa sababu ya kwamba cheti cha Registration cha ERB cha graduates Engineer kimeisha muda wake ,na wakati ERB hicho cheti huwa hakiwi renewed
Upumbavu Sana ,
Mi Ile interview ya Renewable Energy sikuhudhuria kwa sababu hii hii
Kiufupi nimefanya interview moja tu ya utumishi ,ile ya mwezi wa sita mwaka jana
Na hata hiyo interview ya mwezi wa sita kuna Electrical engineers wengi nimesoma nao majina yao yalikatwa kwa sababu hii ya kipuuzi


Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
Mnashindwa kufuatilia mpate haki yenu ya kufanya usaili?
 
mie nilifanyaga ya mwezi wa sita ile nyingine ndio naitegemea nyingine ilikua ya kinondoni ila ile nilijibu pumba nakiri kabisa nilikandwa live bila chenga🤣🤣.vp wewe mwenzangu ulifanya ipi..
Nilifanya ya mwez wa 6 ile mda and lga,sasa sijui wameshakamilika watu 30 au bado,yaan na wanavyoita kwa Maringo wananivuruga tu
 
Halafu psrs kuna tabia mbovu ya kureject applications za wahandisi kwa kutoa sababu ya kwamba cheti cha Registration cha ERB cha graduates Engineer kimeisha muda wake ,na wakati ERB hicho cheti huwa hakiwi renewed
Upumbavu Sana ,
Mi Ile interview ya Renewable Energy sikuhudhuria kwa sababu hii hii
Kiufupi nimefanya interview moja tu ya utumishi ,ile ya mwezi wa sita mwaka jana
Na hata hiyo interview ya mwezi wa sita kuna Electrical engineers wengi nimesoma nao majina yao yalikatwa kwa sababu hii ya kipuuzi


Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile
Omba extension for GE certificate kutoka erb,then attach hiyo barua na chet chako kilichoexpire kweny account yako sehemu ya professional certificate,hapo kwisha kaz huwezi kosa interview
 
Halafu psrs kuna tabia mbovu ya kureject applications za wahandisi kwa kutoa sababu ya kwamba cheti cha Registration cha ERB cha graduates Engineer kimeisha muda wake ,na wakati ERB hicho cheti huwa hakiwi renewed
Upumbavu Sana ,
Mi Ile interview ya Renewable Energy sikuhudhuria kwa sababu hii hii
Kiufupi nimefanya interview moja tu ya utumishi ,ile ya mwezi wa sita mwaka jana
Na hata hiyo interview ya mwezi wa sita kuna Electrical engineers wengi nimesoma nao majina yao yalikatwa kwa sababu hii ya kipuuzi


Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
Ulitakiwa kuwapigia simu PSRS na kuwaelewesha mbona ungewekwa kwenye majina ya nyongeza na ungefanya usaili
 
Back
Top Bottom