Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Wakuu mbona mfumo wa Taessa unazingua saana mwenye link yake naomba atume
935906848.jpg
 
Hongera sana master👏👏💯

Muda wako ukifika ni umefika tu, hata usipoamini ila ndio uhalisia huo. Hongera sana mkuu, Nakutakia kheri na fanaka tele ktk maisha yako ya Utumishi wa umma.

Kumbuka kutoa shukurani kwa kusaidia makundi yenye uhitaji toka ktk jamii yako kama vile watoto yatima, wagonjwa, wazee n.k

Kufanya hvyo☝️☝️utazidi kushangaa jnsi milango ya baraka inavyofunguka kwa kasi katika maisha yako.

❤👊👊💯
asante sana mkuu nitafanya hivyo
 
Jamii forum sijui wamekuja kuwaje, kuna baadhi ya nyuzi ukifungua kupitia app yao inagona inasema sever error, ina taka kuingia kwa browser. Huu ni uzi mmojawapo yupo anaepata changamoto kama hii??
Eeh sjajua shida nn kuna pages znagoma
 
leo nimeamka nikasema ngoja nitest kuomba kazi ya ulinzi nione kama ajira ningumu kupata utumishi tuu au hadi private sectors,nikaenda baa moja hivi aisee kabla sijamlizia hata sentence naona watu wananiletea mshale na rungu nikala kona..
 
leo nimeamka nikasema ngoja nitest kuomba kazi ya ulinzi nione kama ajira ningumu kupata utumishi tuu au hadi private sectors,nikaenda baa moja hivi aisee kabla sijamlizia hata sentence naona watu wananiletea mshale na rungu nikala kona..
[emoji23]daa ulienda kuangalia mechi bhn ulivyoona yanga wamefunga ukaamua kutoka ndoki..mkeka umechanika
 
Back
Top Bottom