Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Am so happy for you utafkr nakujua vile,sema ww ni maarufu hili jukwaa.Mungu akufanyie wepesi. Hii inanipa moyo hata mm
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kiongozi hongera sana umeona nilikwambia angalia mzigo huu lazima uende oral hasa soma sasa ukawakande
Ila hili la kunicheleweshea ilihali Prok kapewa matokeo tangu jana, imenistress sana.

Ngoja nianze kupanga mistari ya broken za ngeli, kitaeleweka huko huko[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Faster sana muanze kupean experience ya kupamban na oral.
Sahau kama umepita hapo kwny Written Hasira na Mipango yote Ihamie namna ya Kujibu na Kutoboa Oral.
Lazima wadau muingie kwny Pdf la placement Au Database.
Ahsante kwa muongozo, naufanyia kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…