Salam wakuu,
Nafikiri kuna wahindisi humu hasa Graduate Engineers. Naomba kuulizia utaratibu wa mtu kuwa registered kama Graduate Engineer hadi kupewa cheti.
Nimejaribu kufatilia mtandaoni sipati taarifa sahihi na mkoa nilipo hakuna ofisi za ERB. Nimemaliza chuo 2023.
Asanteni.
watu wanakufuru jamani yaani mtu unalipiga teke buyu la asali nakati kina el marabiosh tunalikeshea mtandaoni 🤣 🤣[emoji38][emoji38]View attachment 2921546
Eng. Vp takukuru huendihaya sasa utumishi mida yenu si ndio hii sasa au mpaka mida ya kumi na mbili hivi..
roundi hii sikuomba last time walinikandaga sikufika hata oral nikaona nikomae na utumishi tu.Vp wewe utaenda.??Eng. Vp takukuru huendi
Hapo wanasemana watoto wao...watu wanakufuru jamani yaani mtu unalipiga teke buyu la asali nakati kina el marabiosh tunalikeshea mtandaoni [emoji1787] [emoji1787]
sometime unakuta mtu anapangiwa database sehemu ambayo hakuomba sasa unakuta alihapata kazi private sekta anaamua kula konaHapo wanasemana watoto wao...
Mtu wa hali ya chini kwel anàpata wap nguvu ya kuleta jeuli hiyo yakugoma kwenda kuchukua barua...
Eeeh Mungu sikia kilio chetu
Itakua uko private kuna elewekasometime unakuta mtu anapangiwa database sehemu ambayo hakuomba sasa unakuta alihapata kazi private sekta anaamua kula kona
Mkitupwa Halmashauri mjee tu wakulungwa.[emoji38][emoji38]View attachment 2921546
Ki2 kizito kinakuja[emoji23][emoji23]Mkitupwa Halmashauri mjee tu wakulungwa.
yaani hata tukitupwa jalalani tutaenda tu. yaani unaachaje asali hivihivi kwa mfanoMkitupwa Halmashauri mjee tu wakulungwa.
Daah sjui mikeka ijayo lini,hope soon tu ,I wish niwemo kwnye next Pdf ndo dua yang every night nitokee kwny pdf na mm[emoji17].Utumishi nadhani kuna Ideas moja wamekuja Mayo nimeigundua.
Wanakaa muda mrefu bila mkeka ila wakitoa ajira wanatoa kama mitatu nayo inakuwa na watu 100+ kila mmoja baada ya hapo kimya kirefu.
Ila wanachonishangaza wanaita wengi watu wengi sana interview sikuizi
Asante sana kiongozi tukapambanie asali sasa sema nondo zinahitajika sanaaKuhusu JKT sio lazima sababu wapo watu wamekuashortlisted na hawajapitia JKT
Kuhusu form muhuri Ni lazima
Duuuh labda walioenda mwaka jana watusaidie nondo aseeTutakwendaaa tuu,hayaa tupeni madini ya test tusomee
We jamaa bhana 😀😀View attachment 2919873 tuburudike kidogo majobless wenzangu. 🤣
wanatoa multiple choice maswali mchanganyiko mpaka ya hesabuDuuuh labda walioenda mwaka jana watusaidie nondo asee
Duuuh mbna hatar kumbe ni kulekule kwenye kipeuowanatoa multiple choice maswali mchanganyiko mpaka ya hesabu