Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Salam wakuu,
Nafikiri kuna wahindisi humu hasa Graduate Engineers. Naomba kuulizia utaratibu wa mtu kuwa registered kama Graduate Engineer hadi kupewa cheti.
Nimejaribu kufatilia mtandaoni sipati taarifa sahihi na mkoa nilipo hakuna ofisi za ERB. Nimemaliza chuo 2023.
Asanteni.
Ingia hiyo link fanya registration. Kila kitu utakamilisha online huko.
 
[emoji38][emoji38]
IMG_20240301_144228.jpg
 
Utumishi nadhani kuna Ideas moja wamekuja Mayo nimeigundua.

Wanakaa muda mrefu bila mkeka ila wakitoa ajira wanatoa kama mitatu nayo inakuwa na watu 100+ kila mmoja baada ya hapo kimya kirefu.

Ila wanachonishangaza wanaita wengi watu wengi sana interview sikuizi
 
Utumishi nadhani kuna Ideas moja wamekuja Mayo nimeigundua.

Wanakaa muda mrefu bila mkeka ila wakitoa ajira wanatoa kama mitatu nayo inakuwa na watu 100+ kila mmoja baada ya hapo kimya kirefu.

Ila wanachonishangaza wanaita wengi watu wengi sana interview sikuizi
Daah sjui mikeka ijayo lini,hope soon tu ,I wish niwemo kwnye next Pdf ndo dua yang every night nitokee kwny pdf na mm[emoji17].
 
Back
Top Bottom