Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

"Tunakwenda kupunguza masuala ya kukopa hasa kwa huduma za jamii sababu katika miaka mitatu hii tumekopa sana kwa ajili ya huduma za jamii, elimu, afya, maji umeme na mambo mengine, sasa tunakokwenda miaka miwili hii mnajua fika matumizi makubwa yataelekea wapi, sasa ili fedha ziweze kurudi TAMISEMI lazima tufanye jitihada za makusanyo," - Rais @SuluhuSamia
.....
Hapa kunaharufu ya Mkeka wa TRA
 
Wapuuzi Tu , hizo pesa walizokopa mbona effect Hamna kwenye hizo huduma za kijamii na miundombinu ?
How dare ?
Yaani bila aibu wanaongelea taasisi kama TANESCO ,hii hii TANESCO inayotulaza gizani kama Mende ? Au TANESCO ya sayari ya Mars ?

Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…