Mbona wakati mwingine tasisi zinapo ajiri zenyewe huwa ziko fasta kuliko kupitia utumishi, kama shida ni tasisi inachelewesha mchakato wa kupangiwa kituo cha kazi.
Sema tu walichofauli kiasi chake hao psrs ni haki katika usahili sio sana mambo ya connection kama tasisi zingine ila usahili katika tasisi husika huwa uko fasta ukitupilia mbali madai ya connection
Sema tu walichofauli kiasi chake hao psrs ni haki katika usahili sio sana mambo ya connection kama tasisi zingine ila usahili katika tasisi husika huwa uko fasta ukitupilia mbali madai ya connection