Hatukatai ila wanatakiwa kua organised,wakae chini watengeneze mambo yao,unakuta unaend dom kufanya interview wakati miezi mitatu nyuma umefanya interview ambayo hujapewa majibu ni kheri upewe majibu kwa harak ujue hujapata kuliko kutufanyia iviSiku ukipata placement ndio utajua kuwa PSRS hawakuwa wanaongopa.
Vuta subira uje utupe huu mrejesho
Ni wenyewe tu kutokua organised,mambo yao hawajayapangilia vizur,mama angejaribu kuingalia hii sekretarieti sasa ivi wanasema interview zitakua zinafanyika online ngj tuone mambo yatakavyokua,sababu hazitakosekanaMbona wakati mwingine tasisi zinapo ajiri zenyewe huwa ziko fasta kuliko kupitia utumishi, kama shida ni tasisi inachelewesha mchakato wa kupangiwa kituo cha kazi.
Sema tu walichofauli kiasi chake hao psrs ni haki katika usahili sio sana mambo ya connection kama tasisi zingine ila usahili katika tasisi husika huwa uko fasta ukitupilia mbali madai ya connectio
Mkuu mwifwaSiku ukipata placement ndio utajua kuwa PSRS hawakuwa wanaongopa.
Vuta subira uje utupe huu mrejesho
Hiyo itakuwa wamejikita katika written tu ndo mambo yatakuwa online michakato mingine itabaki palepale tu oral na kuchelewesha kuita watu kazini haito saidiwa na online interview, na nilazima hiyo written uende katika vituo husika kwa kutumia divece zao na sio eti uko nyumbani, hiyo main point iliyo kuwepo katika mdahalo kipindi cha maoni ni kwamba irahisishe usahishaji, ukweli, haki, na imani zidi ya written interview na ukitoka kwa chumba cha written unajua makisi zako kama umepita au sio, kupunguza msongamano wa kule dodoma na gharama ,Ni wenyewe tu kutokua organised,mambo yao hawajayapangilia vizur,mama angejaribu kuingalia hii sekretarieti sasa ivi wanasema interview zitakua zinafanyika online ngj tuone mambo yatakavyokua,sababu hazitakosekana
Ok fineSiku ukipata placement ndio utajua kuwa PSRS hawakuwa wanaongopa.
Vuta subira uje utupe huu mrejesho
Amiin[emoji3]Waache hadithi nyingi toeni majina ili mfungo yenu wote wakristo na waislam iende sawa bhana
Yuko busy na kujitafuta huko mjini kivyakeMkuu mwifwa
Maryjuan/prok kapotelea wapi au anaogelea kwenye dimbwi la asali?
[emoji120]......Waache hadithi nyingi toeni majina ili mfungo yenu wote wakristo na waislam iende sawa bhana
Unaenda post gani mkuu hiyo kesho?Tunaoenda kesho kukandwa tujuane..
Credit officer na Compliance mkuu,Post zenyewe chache ila ili nyomi lake dah!!![emoji27]Unaenda post gani mkuu hiyo kesho?
Vp mkuu[emoji3]pdf gani tena hizi [emoji1787] [emoji1787]
dah sio poa.yaani pdf kipande halafu bado linagawanywa mara mbili 🤣 🤣Vp mkuu[emoji3]
[emoji1787][emoji1787]mpaka tusemeee yaniiiii...ila jobless kama tumepoa ata kukiamsha uko twit,insta hakuna ki2 ata kucomment tu kwnye social media zao za PSRS tumepoaaa sana..Mama kama hajui ivi hakuna kelele kbsaadah sio poa.yaani pdf kipande halafu bado linagawanywa mara mbili [emoji1787] [emoji1787]
aisee itabidi tuanze kuwalipua huko twitter watakuja kututoa roho mchana kweupe kwa staili hii... 🙌[emoji1787][emoji1787]mpaka tusemeee yaniiiii...ila jobless kama tumepoa ata kukiamsha uko twit,insta hakuna ki2 ata kucomment tu kwnye social media zao za PSRS tumepoaaa sana..Mama kama hajui ivi hakuna kelele kbsaa
Tumepoa sana jobless,tunapiga soga tu uku JFaisee itabidi tuanze kuwalipua huko twitter watakuja kututoa roho mchana kweupe kwa staili hii... [emoji119]
shida ni kwamba hata tukipiga kelele serikali hii ni kupoteza muda tuTumepoa sana jobless,tunapiga soga tu uku JF