El marabiosh
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,382
- 4,978
Mkuu Leo kumeendaje, marejesho plizCredit officer na Compliance mkuu,Post zenyewe chache ila ili nyomi lake dah!!![emoji27]
Paper zilikua kati kati tu mwanangu,sema wale wakandaji wanapojisikia tu kusema 'pen down' wao wanasema tu.Mkuu Leo kumeendaje, marejesho pliz
Kuingia oral ni ushindi mkubwa sana chief.Duh tuombeane juzi juzi tu nimetoka Dom kwenye oral
[emoji120][emoji817][emoji817]Kwahiyo wasailiwa wanafikiri utumishi wanafanya makusudi kuchelewesha placements? Kama ingekuwa hivyo basi taasisi zinazohitaji watumishi zingekuwa za kwanza kulalamika.
ombea nafasi zipatikane hapo unalamba asaliMambo magumu Sana haya,
NI kama miezi 5 imepita,
Nafasi za kazi zilizokuwa zimetangazwa 5
Idadi ya selected kwenda Oral interview 23,
Idadi ya waliopata Placement Hadi Sasa 3,
Je kwa Status hapa chini inavyojieleza ni kuwa yupo database au ndiyo Baba Jane Bye bye???
According to wadau wa humu ni kua upo katika database mkuu.Mambo magumu Sana haya,
NI kama miezi 5 imepita,
Nafasi za kazi zilizokuwa zimetangazwa 5
Idadi ya selected kwenda Oral interview 23,
Idadi ya waliopata Placement Hadi Sasa 3,
Je kwa Status hapa chini inavyojieleza ni kuwa yupo database au ndiyo Baba Jane Bye bye???
Shida ni kwamba why wazikubalie tasisi kama hizo kuendesha usahili angali wanajua wako na uhitaji wa haraka, inabidi waweke mikakati na sheria kwa psrs dhidi ya hizo tasisiKwahiyo wasailiwa wanafikiri utumishi wanafanya makusudi kuchelewesha placements? Kama ingekuwa hivyo basi taasisi zinazohitaji watumishi zingekuwa za kwanza kulalamika.
Shida ni kwamba why wazikubalie tasisi kama hizo kuendesha usahili angali wanajua hawna uhitaji wa haraka, inabidi waweke mikakati na sheria kwa psrs dhidi ya hizo tasisi, na pili kama changamoto haiko pia kwa psrs why tasisi nyingi zinatamani ziajili pekee yao bila kupitia psrsShida ni kwamba why wazikubalie tasisi kama hizo kuendesha usahili angali wanajua wako na uhitaji wa haraka, inabidi waweke mikakati na sheria kwa psrs dhidi ya hizo tasisi
Mimi nashangaa wanawezaje kutoa tangazo na idadi ya watu afu anaita nusunusu na mambo hayo yapo sana kwa matangazo ya MDAs & LGAs, huo ni ubabaishaji , toa tangazo huku ukijua idadi ya candidate itapangiwa yote kwa mara mojo au ndo uaanze sasa kuwapangia watakao kuwa data base nusunusu hadi waishe, Ila wapangiwe kwanza idadi ile iliyo itajika kwa awamu mojaombea nafasi zipatikane hapo unalamba asali
Hapo ndipo hata Mimi siwaelewi Sasa nafasi zenyewe 5 ambazo ni chache tu ni Bora wakaita wote watano ili mtu ajijue yupo database au la.Mimi nashangaa wanawezaje kutoa tangazo na idadi ya watu afu anaita nusunusu na mambo hayo yapo sana kwa matangazo ya MDAs & LGAs, huo ni ubabaishaji , toa tangazo huku ukijua idadi ya candidate itapangiwa yote kwa mara mojo au ndo uaanze sasa kuwapangia watakao kuwa data base nusunusu hadi waishe, Ila wapangiwe kwanza idadi ile iliyo itajika kwa awamu moja
Umeniambia nikutafutie watu mahususi kwa kazi Fulani. Nimefanya hivyo kwa wakati Kisha nakutaarifu Ile kazi yako imekamilika. Unaniambia basi subiri kwanza nitakutaarifu uwaambie walengwa waje kuanza kazi. Kosa la huyo mtu wa Kati hapo ni lipi? Najua ni namna Gani unaumia kutokana na shauku uliyonayo mara baada ya Kutoka kufanya usaili. Mimi nashauri kuwa na subira tu kwakua part yako kama msailiwa unakuwa umemaliza, hivyo mengine waachie wao muda ukifika utaitwa kazini.Shida ni kwamba why wazikubalie tasisi kama hizo kuendesha usahili angali wanajua wako na uhitaji wa haraka, inabidi waweke mikakati na sheria kwa psrs dhidi ya hizo tasisi
Umeniambia nikutafutie watu mahususi kwa kazi Fulani. Nimefanya hivyo kwa wakati Kisha nakutaarifu Ile kazi yako imekamilika. Unaniambia basi subiri kwanza nitakutaarifu uwaambie walengwa waje kuanza kazi. Kosa la huyo mtu wa Kati hapo ni lipi? Najua ni namna Gani unaumia kutokana na shauku uliyonayo mara baada ya Kutoka kufanya usaili. Mimi nashauri kuwa na subira tu kwakua part yako kama msailiwa unakuwa umemaliza, hivyo mengine waachie wao muda ukifika utaitwa kazini.
Mimi nasemea kwa wote wahanga haiwezekani oral ufanye afu ikae zaidi ya miezi sita sasa hapo si ni kutiana taharuki tu,Umeniambia nikutafutie watu mahususi kwa kazi Fulani. Nimefanya hivyo kwa wakati Kisha nakutaarifu Ile kazi yako imekamilika. Unaniambia basi subiri kwanza nitakutaarifu uwaambie walengwa waje kuanza kazi. Kosa la huyo mtu wa Kati hapo ni lipi? Najua ni namna Gani unaumia kutokana na shauku uliyonayo mara baada ya Kutoka kufanya usaili. Mimi nashauri kuwa na subira tu kwakua part yako kama msailiwa unakuwa umemaliza, hivyo mengine waachie wao muda ukifika utaitwa kazini.
Nisha sema utumishi wa uma unaitaji discipline na leadership skill pia unatakiwa use creative katika kutatua changamotoMimi nasemea kwa wote wahanga haiwezekani oral ufanye afu ikae zaidi ya miezi sita sasa hapo si ni kutiana taharuki tu,
Huyo mtu wa kati(psrs) anapaswa aweke kanuni zake kuwa baada ya kufanya oral placement zisivuke kioindi cha miezi miwili kusuburi
Kwa kufunya hivyo wanavyofanya wanakua wamevunja Sheria Gani kwenye katiba?Mimi nasemea kwa wote wahanga haiwezekani oral ufanye afu ikae zaidi ya miezi sita sasa hapo si ni kutiana taharuki tu,
Huyo mtu wa kati(psrs) anapaswa aweke kanuni zake kuwa baada ya kufanya oral placement zisivuke kipindi cha miezi miwili kusuburi