Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

washenzi sana hawa jamaa yani siku umeamka zako una bando la kutosha kila ukiangalia placement huoni kitu basi unajisemea ngoja nichungulie status unakuta kitu kilishabadilika siku nyiiingi.🤣 🤣
😂😂😂Unakuta not selected ya maandishi mekundu au selected for null
 
Utumishi kama Utumishi ,[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Ama kweli utumishi ni utumishi
 
Utumishi kama Utumishi ,[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Ama kweli utumishi ni utumishi
 
Kwamba[emoji41][emoji102]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] yaani utumishi ni utumishi kweli kweli , utumishi wamejua kuwatumikisha jobless kulogin kwenye web mpaka wamekuwa watumishi wa kulogin kwenye web , yaani jobless wamekuwa watumishi bila Placement [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa tunafanyaje ndo kazi iyo iliyobaki j2 mm ndo sku ambayo siingii sana kweny website yao.Kuanzia kesho sasa adi picha zao natizama
 
washenzi sana hawa jamaa yani siku umeamka zako una bando la kutosha kila ukiangalia placement huoni kitu basi unajisemea ngoja nichungulie status unakuta kitu kilishabadilika siku nyiiingi.🤣 🤣
Nimeenda kuichungulia ss ivi status nikaiambia ni marufuk kubadilika..daah hii vita ni balaa😂
 
Sema PSRS ss ivi kumepooza hasa kwny placement,ukisoma msgs za nyuma mwaka jana ivi watu walikua wanatoa shuhuda sana ila huu mwaka mbn kama mgumu ivi tka mwaka huu placement znazotka ni pages chache kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…