Wamepoteza Mvuto kwa kutotoa pdf au kutenda haki unazungumza Upande upi Kiongozi!!!Vibali vya ajira uwa vinatolea kuanzia mwezi wa 4 vya mwaka mzima.
Ila psrs wamepoteza mvuto jamani
dahh na iwe hivo aisee..Mwez huu utakua na mikeka mingi tu2
Psrs wanajitahidi kwenye kutenda haki shida yao moja tu labda kuchelewesha placementsVibali vya ajira uwa vinatolea kuanzia mwezi wa 4 vya mwaka mzima.
Ila psrs wamepoteza mvuto jamani
Wamepoteza Mvuto kwa kutotoa pdf au kutenda haki unazungumza Upande upi Kiongozi!!!
Yaliyofanywa kwenye Taasisi usail ni ππππ
Bora mpira urudi Utumishi tu angalau wanafuta Utabaka katika
Kama vile umenena vyema Kiongozi kwakweli kwa upande wa uwazi na haki wako poa sijajua anaongelea kwa mlengwa ganWamepoteza Mvuto kwa kutotoa pdf au kutenda haki unazungumza Upande upi Kiongozi!!!
Yaliyofanywa kwenye Taasisi usail ni ππππ
Bora mpira urudi Utumishi tu angalau wanafuta Utabaka katika Jamii
"The struggle is real" tunywe maji mengi wakuuWhen i am sober.......
Niko maji niko maji niko majiii
Na mudaa una yoyomaaa mazee
Duu
π€£π€£π€£π€£Jobless mmepoa sana,pigeni ata ramli basi
πππRamli zambi. Japo nasikilizia call for interview na wiki ishakataJobless mmepoa sana,pigeni ata ramli basi
Hawatabiriki siku izi, ramli zenyewe zinagoma wameamua kutukomesha haswaaJobless mmepoa sana,pigeni ata ramli basi
Aah iyo subir June ππππRamli zambi. Japo nasikilizia call for interview na wiki ishakata
wametuweza sanaHawatabiriki siku izi, ramli zenyewe zinagoma wameamua kutukomesha haswaa
Kuna ajira zinakuja, kada yko inaweza ikawepoKuna baadhi ya course ndio tunasahau kabisa kuhusu utumishi
Hahaha Still sobing"The struggle is real" tunywe maji mengi wakuu
Enheee Pinacoladee una zandani kumbe ndg yanguKuna ajira zinakuja, kada yko inaweza ikawepo
πππaah wap si ndo zile alizosema mh simbachaweneEnheee Pinacoladee una zandani kumbe ndg yangu
Zile me naisi kama tumepigwa hv maana kama zimebaki elfu 30+ Kwa miezi iliobaki hawawwzi chukuaπππaah wap si ndo zile alizosema mh simbachawene